Hiv MUNGU acngeweka sheria kwamba Mwanaume/mwanamke utakayekutana nae na kupendana ndo awe huyo huyo mume/mke aliyekupangia ili kuondoa huu uongo uongo uliotawala sahv,mtu anapenda waschana zaid ya 3,wote anawaahid kuwaoa mwisho wa cku hachkuliw hata mmoja kati yao...eeh MUNGU 2saidie kwakweli suala la mapenz lilipofkia sahv 2nahtaja karama yako 2fanikiwe...