Mabibi na mabwana,
Ni matumaini yangu hamjambo. Kuna hii drama inaendeleakatika maisha yangu na leo hii nimefikiria sana na kuamua kuanika ukweli hapajamvini ili nisikie maoni yenu nap engine...
Nimedate zaidi ya wasichana na wanawake 15,jamani mwenzenu nikishamtongoza msichana akikubari uzuri wake kwangu unaanza kupungua,nikishapewa kiboga tu hata hamu ya kumuona inaisha kabisa,sasa hivi...
KAMA UNAJALI UTAMWAMBIA UKWELI HUTOACHA APOTEE
Moja ya vitu vinavyotufanya tunaendelea kuwepo duniani kama binadamu ni kujali. Ndio tunajali sana kuhusu sisi wenyewe na hata wale wanaotuzunguka...
Hi Wakuu!! Kuna Kisa Kimemtokea rafiki yangu anaomba ushauri wenu wadau,ni mdada mzuri 2 lakini mapenzi yanamtesa kutokana na hulka aliyonayo hana makuu Bestito huyu ila kuna mkaka...
Hii ni tabia ya wanaume wengi kushindwa kukubaliana na hali ya uzee pale ujana unapo watupa mkono, ndio hapo unakuta mtu anafanya mambo tofauti na umri wake kama kutongoza watoto wadogo ikiwa ni...
Habari zenu wana MMU,
Wataalamu naomba kujua kuna mahusiano gani kati ya saizi ya uume na nguvu za kiume!
Namaanisha ukubwa au udogo wa uume una madhara gani katika nguvu za kiume?
Karibuni...
Habari wandugu,
Natumaini mko poa,kuna tabia ambayo baadhi ya wanaume wamekuwa waki wa lalamikia wasichana kuwa hawana mapenzi ya Kweli wanapenda pesa tu,sasa minawapa dawa wanaume wenzangu ya...
Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni...
Habari za leo,
Nina mpenzi wangu ambaye ambaye ana mdogo wake wa kike, mdogo wake alikuwa ananipigia mara kwa mara na kunisalimia kama kawaida baada na mdogo mtu ni mzuri sana kuliko dada yake...
Kama wewe ni Binti Wenye sifa zifuatazo nakuomba huwe rafiki yangu.
1.umri: miaka 18~21
2.Elimu: kidato cha 6 nk
3.umbo:Asiwe mlefu wala mfupi na siyo mnene wala mwembamba sana
4.rangi:maji ya...
natafuta marafiki wa kuchat nao na pia kukutana nao.. Mim ni kijana wa kiume jina na miaka utaijua pale tutakapo wasiliana no. Ni 0742609771 vodacom...gmail= lucumayi@gmail.com pia natumia fb ila...
Kuwa Rubani wa Ndege haimaanishi ndio atakuwa Rubani wa Ndoa,...Unaweza kuwa Mwanajeshi tena Brigedia lakini kwenye Ndoa ukawa Kuruta��.....Mwanasheria anaweza kusimama kwenye...
Wakuu habari zenu,
Nina mdogo wangu wa kike, ni wa mwisho kwetu kuzaliwa, amemaliza chuo miaka 2 iliyopita hakua amepata kazi, amekua nyumbani tu muda wote huo. Kwa kweli for the past two years...
Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na...
Nina tamani walau siku moja moyo wangu upate kutulia, nimpate wa kunienzi, airejeshe furaha yangu ilopotea kwa miaka mingi, authamini moyo wangu, japo kidogo na mie nihisi nipo kwa hii dunia...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya huyu bwana. Wanaume mnjitia mabandiduuuu! Wanaaaa! Chezea wanawake chezea...
Habari za leo
Nina mpenzi wangu ambaye ambaye ana mdogo wake wa kike ,mdogo wake alikuwa ananipigia mara kwa mara na kunisalimia kama kawaida baada na mdogo mtu ni mzuri sana kuliko dada yake...
Jamani habarini za saizi,
Mimi naitwa Revocatus ni kijana mwenye umri wa miaka 25 bahati mbaya toka kuzaliwa nilikua nikiishi na mama nilie mjua kua ndie mama yangu mzazi kumbe sivyo jamani...
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na kampuni ya kifedha hapa DSM, Nipo serious nahitaji mke wa kuowa, mwenye sifa zifuatazo awe mweusi, mnene wa Kati na Urefu wa wastani, awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.