Imekua tabia ya wadada weng sasa hv kuishia kulala na wanaume lukuki kwa sababu ya kupenda kuwa tegamezi na kuishia kutoolewa kwa sababu ya katabia hako.ushauri; hakikisha unafanya kila uwezalo...
Sababu anajua nini unachotaka kufahamu. Kama ni mzuri na mwenye kuvutia lazima atajibu ndio, na kama hana boyfriend jibu lake litakuwa hilo hilo ndio anaye. Wasichana wengi wanataka kuonekana wapo...
siku njema, binafsi shughuli zangu zinahusisha safari za mara kwa mara, na mpaka muda huu naingia jamvini nimefanikiwa kuimaliza mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani. tangu awali kuna kitu...
Kuna jamaa alimkuta mpnz ake anatumiwa pesa na mtu flan yule dada akawa amemdanganya jamaa eti ni dada ake na baada ya kufatilia akakuta ni mpnz wake. Ila jamaa akafanikiwa kustop mahusiano ya...
wakuu niliwahi kuja na maada ya kuhusu wanawake weusi jinsi walivyo wazuri. Sasa kuna tatizo nilosahau kuwashilikisha.tatizo lenyewe ni muda wowote ni kikutana na mwanamke mweusi nachanganyikiwa...
Nimesikia watu wengi wakiongelea Cream za kufanya maziwa ya wanawake kusimama. Kuna cream ambazo ni chache sana ambazo hazima madhara. Nilikuwa najiuliza, kwa kipindi fulani nilikwisha wahi...
Miaka ya nyuma ilikuwa mtu akipata mtoto wa kiume anafurahi mpaka basi, akipata wa kike anaanza kufikiria itakuwaje akipata mimba kabla ya kuolewa. Mtoto wa kike alikuwa analeta wasiwasi kwa...
Jaman natumai wazima kuna mkaka kila nikiingia jf lazima nitamani japo kumuona kwenye avatar yake amevaa shat la bluu lina mistari meupe na mekundu kwenye mabega.sijui kwanini jamani
hawatoi site hatakama kuna dharura gani ukiminya kidogo inakuwa kero,wanamapozi ya kujifanya wana class c+ zote duniani,mjiheshimu tutaanza kuwakwangua natoa taadhari,kama mna...
Mimi ni msichana wa umri 21 nafanya kazi oman nimetokea kumpenda kijana mmoja ni rafiki yangu but nashindwa ni vipi nimuambie how i feel for him niliwahi kumuuliza kuhusu love akasema anapenda...
Kuna binti hapa kazini kwetu amenifurahisha sana, eti anataka kuolewa na mwanaume Handsome!! nimemuuliza hivi mwanaume Handsome yupoje? na je unajua athari za kuolewa na Handsome?
Alikuwa na...
Fahari wa mzazi = mtoto
Fahari wa mke = mume
Fahari na mume =mke
Fahari ya mwalimu =mwanafunzi
Fahari ya mwenye nyumba =nyumba
N.k
Hamna kitu kizuri kama mtu kuwa na kitu ambacho kinampa...
Nina umri wa kati ya miaka 25 hadi 30, nahc muda wangu wa kuoa umefika. Naomba mnipe ushauri. Nianze na kipi, kifuate kipi, changamoto gani nitakutana nazo, n.k
Mimi ni mkristo, RC.
Ushauri...
Jamani mazoea yanatabu, ni kawaida yangu kusafiri kikazi lakini safari huwa sio za kukaa muda mrefu kiasi hiki. Leo ninasiku ya nane nipo hapa Moro usingizi umegoma kabisa ninahisi kama nimekosa...
Touching Story. A dog was so faithful that the woman could leave her baby with it & go out to attend other matters. She always returned to find the child soundly asleep with the dog faithfully...
Nawasalimu wanajamii kila mtu kwa jina lake.Sote tukumbuke ndoa ni takatifu iliwekwa na Mungu,hivo tendo la ndoa kwa wanandoa ni takatifu pia.Nina zaidi ya miaka 9 ya ndoa,kwa muda wote huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.