Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Joined
Oct 10, 2015
Posts
59
Reaction score
1
Habari zenu wanaJf,

Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.

Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.

Naombeni ushauri wanaJf

Nifanyaje?
 
Kwani ni lazima umuambie unampenda!?

Matendo huongea zaidi ya maneno.
 
sasa siumuacha madem wako weng unababaika naye wa nn
 
  • Thanks
Reactions: Art
Habari zenu wanajf,
Ebhana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakn kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx, kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa, naomben ushaur wanajf nifanyaje???

Ukiona majibu hayo ya mkato, ujue hayuko serious na wewe, wakati huo yuko busy anachat na jamaa mwingine na anaona unampotezea muda tu!!! Kama una pesa, unamtumia za kutosha za matumizi, unamtoa shopping, matanuzi, umemnunulia tablet, una gari lako mwenyewew, unamtumia M- au Tigo pesa, hatakujibu hivyooooo!!! Kwa umri pia inaonekana ni teen ager huyo au ana miaka 20 tu, chunga sana, tafuta mbadala, na huyo kaa kimya usimtext kwa muda mrefu utaona atarudi mwenyewe kama kweli anakupenda
 
Anapokujibu "K" anakuwa anamaanisha kitu gani? Yaani K stands for what? Is it papuchi?
 
Ukiona majibu hayo ya mkato, ujue hayuko serious na wewe, wakati huo yuko busy anachat na jamaa mwingine na anaona unampotezea muda tu!!! Kama una pesa, unamtumia za kutosha za matumizi, unamtoa shopping, matanuzi, umemnunulia tablet, una gari lako mwenyewew, unamtumia M- au Tigo pesa, hatakujibu hivyooooo!!! Kwa umri pia inaonekana ni teen ager huyo au ana miaka 20 tu, chunga sana, tafuta mbadala, na huyo kaa kimya usimtext kwa muda mrefu utaona atarudi mwenyewe kama kweli anakupenda

Teh teh teh
 
Ukiona majibu hayo ya mkato, ujue hayuko serious na wewe, wakati huo yuko busy anachat na jamaa mwingine na anaona unampotezea muda tu!!! Kama una pesa, unamtumia za kutosha za matumizi, unamtoa shopping, matanuzi, umemnunulia tablet, una gari lako mwenyewew, unamtumia M- au Tigo pesa, hatakujibu hivyooooo!!! Kwa umri pia inaonekana ni teen ager huyo au ana miaka 20 tu, chunga sana, tafuta mbadala, na huyo kaa kimya usimtext kwa muda mrefu utaona atarudi mwenyewe kama kweli anakupenda

axante mkuu
 
Ukiona majibu hayo ya mkato, ujue hayuko serious na wewe, wakati huo yuko busy anachat na jamaa mwingine na anaona unampotezea muda tu!!! Kama una pesa, unamtumia za kutosha za matumizi, unamtoa shopping, matanuzi, umemnunulia tablet, una gari lako mwenyewew, unamtumia M- au Tigo pesa, hatakujibu hivyooooo!!! Kwa umri pia inaonekana ni teen ager huyo au ana miaka 20 tu, chunga sana, tafuta mbadala, na huyo kaa kimya usimtext kwa muda mrefu utaona atarudi mwenyewe kama kweli anakupenda

nimekuelewa mkuu
 
kijana usiogope wala usikatishwe tamaa na ushauri unaopewa humu

huyo ni wako anakupenda sana we muonyeshe upendo mambo mengine yatakaa sawa

kila la kheri
 
Yaani mwaka mzima unamwambia unampenda anajibu hivyo na wewe upo tu..
 
Back
Top Bottom