Tafsiri ya rangi za shuka kitandani

Tafsiri ya rangi za shuka kitandani

pongwer

Senior Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
174
Reaction score
26
TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI KWA MWANAMKE ALIYEFUNDWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI....,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA........ TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA NYINGINE NI SHUKA TU KAMA PAMBO HAZINA MAANA YOYOTE

TUANZE NA SHUKA NYEUPE
,au la cream
Shuka hili maana yake ni kwamba Mumewangu Leo nimejiandaa vya kutosha.......nimekamilika kila idara wewe tu uje mpenzi ujilie vyako......yaani ukiweka hili haswa hii siku ya shughuli uwanjani

Shuka jekundu............
Mumewangu Niko Tayari kukupa mambo..........but tukae tuongee kwanza kwani mwenzako hali si shwari Leo......Niko kwenye siku za hatari......ukikosea tu utanipa ujauzito ilhali hatujajiandaa kupata mtoto kwasasa......shuka hili tumia siku za hatari

Shuka jeusi au la rangi udongo..
.Mumewangu Leo lisijikii kabisa........tulale tu nimechoka sana Leo tusifanye kabisa

Shuka la Kijani......blue bahari.....au green apple'au blue
Mumewangu Niko radhi najisikia hamu Leo tujiachie baby Tena Niko kwenye siku nzuri za kupata ujauzito......baby Leo mechi ieleweke kwani tukicheza vizuri Leo ntapata ujauzito

Shuka la pink au orange
Baby sijisikiii,naumwa Leo tusifanye kabisa naumwa mpenzi .....tukumbatiane tu

Shuka la njano
Baby umenikosea........Nina hasira Leo sikosawa........nitake radhi yaishe tuendelee kuenjoy penzi letu

Shuka la zambarau
Baby naomba unisamehe najuta kwakosa nlilokufanyia.....

Shuka la mchanganyiko wa ranginyingi yaani rangizaidi ya tatu zikiwa kwenye shuka moja
Baby Leo naomba tufanyiane USAFi.......hapo ni siku unayoona kichaka chahitaji jambia cjui tumeelewana.....
Tutazidi kueleweshana kadri tutavyojaaliwa kwaleo tuishie hapa

KUMBUKA
Si shuka zote zina maana.....waweza weka tu ukiwa huna maana yoyote,ila kwawadada waliofundwa,ni vema kufanya mamboyao tofauti na wasungo,pia waweza mfunda mumeo ili ukimwekea shuka Fulani isimlazimu mazungumzo basi yawe ni mahojiano na utekelezaji tu wa kile shuka inachosema..
 
TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI KWA MWANAMKE ALIYEFUNDWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA. TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA NYINGINE NI SHUKA TU KAMA PAMBO HAZINA MAANA YOYOTE

TUANZE NA SHUKA NYEUPE au la cream

Shuka hili maana yake ni kwamba Mume wangu Leo nimejiandaa vya kutosha, nimekamilika kila idara wewe tu uje mpenzi ujilie vyako. Yaani ukiweka hili haswa hii siku ya shughuli uwanjani

Shuka jekundu

Mume wangu Niko Tayari kukupa mambo, but tukae tuongee kwanza kwani mwenzako hali si shwari Leo., Niko kwenye siku za hatari, ukikosea tu utanipa ujauzito ilhali hatujajiandaa kupata mtoto kwasasa. shuka hili tumia siku za hatari

Shuka jeusi au la rangi udongo

Mume wangu Leo lisijikii kabisa, tulale tu nimechoka sana Leo tusifanye kabisa

Shuka la Kijani, blue bahari au green apple'au blue

Mume wangu Niko radhi najisikia hamu Leo tujiachie baby Tena Niko kwenye siku nzuri za kupata ujauzito, baby Leo mechi ieleweke kwani tukicheza vizuri Leo ntapata ujauzito

Shuka la pink au orange

Baby sijisikiii, naumwa Leo tusifanye kabisa naumwa mpenzi, tukumbatiane tu

Shuka la njano

Baby umenikosea. Nina hasira Leo sikosawa. nitake radhi yaishe tuendelee kuenjoy penzi letu

Shuka la zambarau

Baby naomba unisamehe najuta kwakosa nlilokufanyia

Shuka la mchanganyiko wa ranginyingi yaani rangi zaidi ya tatu zikiwa kwenye shuka moja

Baby Leo naomba tufanyiane USAFi, hapo ni siku unayoona kichaka chahitaji jambia cjui tumeelewana. Tutazidi kueleweshana kadri tutavyojaaliwa kwaleo tuishie hapa

KUMBUKA

Si shuka zote zina maana, waweza weka tu ukiwa huna maana yoyote,ila kwawadada waliofundwa,ni vema kufanya mamboyao tofauti na wasungo, pia waweza mfunda mumeo ili ukimwekea shuka Fulani isimlazimu mazungumzo basi yawe ni mahojiano na utekelezaji tu wa kile shuka inachosema..
 
Kumbe ukiwa period ndo siku za kupata mimba
Kumbe ndo maana dk mwaka ana wagonjwa hvo
Kila siku watu wakiwa period ndo watafuta watoto tanga
Muacheni dk mwaka afaid
 
TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI KWA MWANAMKE ALIYEFUNDWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA. TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA NYINGINE NI SHUKA TU KAMA PAMBO HAZINA MAANA YOYOTE

TUANZE NA SHUKA NYEUPE au la cream

Shuka hili maana yake ni kwamba Mume wangu Leo nimejiandaa vya kutosha, nimekamilika kila idara wewe tu uje mpenzi ujilie vyako. Yaani ukiweka hili haswa hii siku ya shughuli uwanjani

Shuka jekundu

Mume wangu Niko Tayari kukupa mambo, but tukae tuongee kwanza kwani mwenzako hali si shwari Leo., Niko kwenye siku za hatari, ukikosea tu utanipa ujauzito ilhali hatujajiandaa kupata mtoto kwasasa. shuka hili tumia siku za hatari

Shuka jeusi au la rangi udongo

Mume wangu Leo lisijikii kabisa, tulale tu nimechoka sana Leo tusifanye kabisa

Shuka la Kijani, blue bahari au green apple'au blue

Mume wangu Niko radhi najisikia hamu Leo tujiachie baby Tena Niko kwenye siku nzuri za kupata ujauzito, baby Leo mechi ieleweke kwani tukicheza vizuri Leo ntapata ujauzito

Shuka la pink au orange

Baby sijisikiii, naumwa Leo tusifanye kabisa naumwa mpenzi, tukumbatiane tu

Shuka la njano

Baby umenikosea. Nina hasira Leo sikosawa. nitake radhi yaishe tuendelee kuenjoy penzi letu

Shuka la zambarau

Baby naomba unisamehe najuta kwakosa nlilokufanyia

Shuka la mchanganyiko wa ranginyingi yaani rangi zaidi ya tatu zikiwa kwenye shuka moja

Baby Leo naomba tufanyiane USAFi, hapo ni siku unayoona kichaka chahitaji jambia cjui tumeelewana. Tutazidi kueleweshana kadri tutavyojaaliwa kwaleo tuishie hapa

KUMBUKA

Si shuka zote zina maana, waweza weka tu ukiwa huna maana yoyote,ila kwawadada waliofundwa,ni vema kufanya mamboyao tofauti na wasungo, pia waweza mfunda mumeo ili ukimwekea shuka Fulani isimlazimu mazungumzo basi yawe ni mahojiano na utekelezaji tu wa kile shuka inachosema..

ndio raha ya tanga mtoto anajua wajibu wake kwa mumewe,sio wale kule mdomo unanuka,hana sauti ya mahaba,mtu mgumu kama zege ukimuona anazungusha kiono utakimbia mana ni vita hivyo mwili mzima unazunguka
 
kazi wanwake tunayo.. mashuka yangu lazima yawe na maua aisee hata kwa mbali
 
TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI KWA MWANAMKE ALIYEFUNDWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI....,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA........ TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA NYINGINE NI SHUKA TU KAMA PAMBO HAZINA MAANA YOYOTE

TUANZE NA SHUKA NYEUPE
,au la cream
Shuka hili maana yake ni kwamba Mumewangu Leo nimejiandaa vya kutosha.......nimekamilika kila idara wewe tu uje mpenzi ujilie vyako......yaani ukiweka hili haswa hii siku ya shughuli uwanjani

Shuka jekundu............
Mumewangu Niko Tayari kukupa mambo..........but tukae tuongee kwanza kwani mwenzako hali si shwari Leo......Niko kwenye siku za hatari......ukikosea tu utanipa ujauzito ilhali hatujajiandaa kupata mtoto kwasasa......shuka hili tumia siku za hatari

Shuka jeusi au la rangi udongo..
.Mumewangu Leo lisijikii kabisa........tulale tu nimechoka sana Leo tusifanye kabisa

Shuka la Kijani......blue bahari.....au green apple'au blue
Mumewangu Niko radhi najisikia hamu Leo tujiachie baby Tena Niko kwenye siku nzuri za kupata ujauzito......baby Leo mechi ieleweke kwani tukicheza vizuri Leo ntapata ujauzito

Shuka la pink au orange
Baby sijisikiii,naumwa Leo tusifanye kabisa naumwa mpenzi .....tukumbatiane tu

Shuka la njano
Baby umenikosea........Nina hasira Leo sikosawa........nitake radhi yaishe tuendelee kuenjoy penzi letu

Shuka la zambarau
Baby naomba unisamehe najuta kwakosa nlilokufanyia.....

Shuka la mchanganyiko wa ranginyingi yaani rangizaidi ya tatu zikiwa kwenye shuka moja
Baby Leo naomba tufanyiane USAFi.......hapo ni siku unayoona kichaka chahitaji jambia cjui tumeelewana.....
Tutazidi kueleweshana kadri tutavyojaaliwa kwaleo tuishie hapa

KUMBUKA
Si shuka zote zina maana.....waweza weka tu ukiwa huna maana yoyote,ila kwawadada waliofundwa,ni vema kufanya mamboyao tofauti na wasungo,pia waweza mfunda mumeo ili ukimwekea shuka Fulani isimlazimu mazungumzo basi yawe ni mahojiano na utekelezaji tu wa kile shuka inachosema..

toa reference(retereture review)
 
Hivi unatandikaje shuka jekundu? Au jeusi? Si panakua kama kwa mganga?
Shuka la zambarau si linatumika msibani?
Hizo rangi zinisamehe bure


Ha ha haa
Nyakanga nitakurudisha mkoleni!!
 
Kuna rangi zikiwa mashuka ni za ajabu.... inagine green? Sijui ndio green ya ccm???

Shuka la njano? Njano ya yanga???

Shuka la purple?loh kwani kwaresma???


Anyway wake mnao-communicate kwa kutumia rangi mkuje
 
Kumbe ukiwa period ndo siku za kupata mimba
Kumbe ndo maana dk mwaka ana wagonjwa hvo
Kila siku watu wakiwa period ndo watafuta watoto tanga
Muacheni dk mwaka afaid

Hahahaha nikikuwa sijapaona hapo

No wonder. ...
 
Back
Top Bottom