Nimeona mada nyingi humu zinazingumzia masuala ya kulea watoto wasio wao na kusingiziwa watoto, mara nyingi mwanamke humsingizia mtoto mwanaume yule mwenye malengo nae au mwenye uwezo wa kulea...
Mimi ni mwanamke, nina mtoto mmoja i am 32, nilitengana na mume kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia jf kutafuta mwenza maana walio mtaani ndo hawa hawa walio JF aliye tayari...
Wana JF,
Kuna kitu huwa kinanichanganya hasa kuhusu kuoa au kuolewa yaani ndoa.Si mara moja wala mbili nimekuwa nakatishwa tamaa na kujihoji je huwa upo ukomo wa mapenzi ?
Kuna mashauri...
Emmanuel MichaelkmNapenda nitoe maneno yafuatayoMtu mwenye sifa zifuatazo anafaa kuwa mke wangu au mkeo au mmeo
1.Awe mwenye heshima
2.Anaye mjua mungu japo mara moja kwa wiki
3.Asiwe mwepesi...
SEMA UKWELI MARA ZOTE, UTAPENDWA
Maneno ya ukweli hayabembelezi...
Na maneno yanayobembeleza sio ya kweli...
Hivyo ni wajibu kwako kuchagua, unataka kutoa maneno ya kubembeleza au unataka kutoa...
habar wadau kuna rafk angu tunaishi nae nyumba moja yaan tumepang kwenye nyumba yenye vyumba vwl na seble .sasa rafk angu almtongoza bint mmoja lkn akatolewa nje ila yule binti alionekana kunpenda...
Habari wana jf, heri ya cikuku. Ndugu zangu naandika Uzi huu siyo kwa kujifurahisha bali ni kutoka moyoni, Mimi ni kijana wa kiume naishi Dar, Kikazi Nimeajiriwa na taasisi Ndogo ya fetha hapa...
Wasalaam wanajf
Mchumba wangu kipenzi ananishangaza sijajua hata nimueleweje!
Iko hivi mchumba wangu anarafiki yake ambaye yeye na rafiki yake niliwafahamu wote wakiwa pamoja wakati tukifanya...
Wasalaam wanajf
Mchumba wangu kipenzi ananishangaza sijajua hata nimueleweje!
Iko hivi mchumba wangu anarafiki yake ambaye yeye na rafiki yake niliwafahamu wote wakiwa pamoja wakati tukifanya...
Habari wana jf,
Natanguliza shukulani zangu kwa wana jf wote, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na taasisi moja ya fedha hapa Dar, Nipo serious nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, age...
kuna maeneo hua nafanyia kz, akaja rafiki yangu nimesoma nae primary kuna ujenz alikua anafanya, nikawa napga nae stori maana nilitoka ofcn iv, akaja mdada pale jirani akawa ana kikaratas akampa...
Baada ya mkemia kutoa takwimu ile kuna watu wengi watataka kwenda kupima ili kujua kama watoto ni wao.
Naomba serikali iwe makini hapa wakiruhusu kila mtu kupima itapelekea watoto wengi wa...
Habarini Wakuu,
Kuna siku nilikuwa duka flan hivi na pembeni mwa dirisha la duka hiyo kulikuwa na ubishani mkubwa pamoja na matambo kutoka kwa wachagga wawili wakijisifia kuwa wao wanajua sana...
Heshima kwenu wote,
Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka kumekuwa na tabia za baadhi ya watu kukwepa majukumu yao kwa makusudi hasa waliokuwa kwenye mahusiano ya mapenzi iwe ni mke au girlfriend...