kigori wa kilwa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 483
- 149
Mie nachukia na hii kauli ya "k" badala ya "ok" hivi ni dharau au nn
Mi nachukia ile wanayotumia watoto ya "X" badala ya "S" mfano xx badala ya sasa.
Xaxa xixi wengi hatujazoea...
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Nachukia sana pale unapomtongoza mwanamke halafu anakujibu kwa dharau
Eti ebu jiangalia juu mpaka chini kisha nambie wanisumbua nini wakati huna hadhi ya kutembea na mimi.BADILIKENI BHANA KWA KUJIBU MAJIBU MAZURI HATA KAMA SIYO HADHI YAKO.