Wadada wa siku izi mbona hamna woga?

Wadada wa siku izi mbona hamna woga?

Super human

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2015
Posts
1,147
Reaction score
752
kuna maeneo hua nafanyia kz, akaja rafiki yangu nimesoma nae primary kuna ujenz alikua anafanya, nikawa napga nae stori maana nilitoka ofcn iv, akaja mdada pale jirani akawa ana kikaratas akampa yule rafiki yangu akamwambia mpe yule kk palee akapoint nikamchek ata cmfaham na ni mgeni yale maeneo nikakichek kina namba za cm na jina lake, yy akawa kakatiza nyuma ya nyumba fulani iv,kwa kwl nikabak nawaza tu jnc wadada cku iz wamekua na confidence cjui ila cjaangaika ata kumtafuta maana naogopa wacje niachia virus bureee
 
Kwani ulijua anachokitaka? Kwanza mimi demu akinifanyia hivyo ntafurahi kinoma noma,na ntamtupia salio la kutosha tuongee kinagaubaga.
 
Kuna siku nilikuwa na kaka mmoja tunaangalia bidhaa, akaja mteja mwingine. Nilichoka wakati huyu kaka ananiambia mdada alimpa namba yake ya simu bila mie kustuka. Nikabisha, jamaa akampigia na kumuweka loud speaker. Aisee ni aibu tupu! Mwanamke lazma ajihashue kidogo bwana, mweeh!
 
Hio ni ngekewa.Huwezi jua kapenda nini.

Af data cio wa kwanza kuna kama 3 tena I've na mwngne ambae aliniona turn kwenye bad yy kakaa siti nyingine akanipa karatas ya jna na namba ivo ivo natakaga niwagonge bt hakuna kitu naogopa kama ngoma najua nikijichanganya kidogo tu naeza ipata
 
Hii dunia ina watu wa ajabu sana, ss hpo unachohofia ni nn??
 
Mimi hua naogopa maana tunaeza ishia Kudo mwishowe nibak nalia tu. Ndo maana hua wakija ivo name natambua lengo lao before so Evelyn salt Mimi kwetu ndo naangaliwa sana nahofia nicje harbu ndoto za wadogo zangu bana. even though sjapata was ivo ambae ni mashalaa ad nimwone was ukwelii no hao wa kawaida tu na sio was kunifanya niwalove back.
 
Back
Top Bottom