Mapendo msaada...

Mapendo msaada...

mkubhi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
2,216
Reaction score
3,319
Kila ninaempenda kwangu anawahi kuchuja na anapoteza thamani ndani ya mda mfupi... Wanajukwaa naomba ushauli wenu...
 
ni kipindi cha mpito usijali mwakani utaacha.
 
Fanya kazi tafta pesa wala hutojuta. Maana naona na wewe umechuja.
 
Sasa kama unashindwa kumtunza na ni wakwako ataachaje kuchuja?

Mlishe vizuri,hakikisha anafanya mazoezi na kupaka mafuta mazuri ya kutelezesha ngozi...ila pia itabidi uhakikishe security maana kuna Mamende huwa wanapenda ready made tu.
 
Jamani mm kwa mala ya kwanza na kipindi namtongoza namuona mwenye thamani kubwa na mwenye mvuto.... Ila akishanikubalia tu ule uzuri wake unapotea machoni pangu kbsa...
 
...actually there is no bad person or a good one, is your MIND that makes them to look the way u like
 
Back
Top Bottom