Bora kupenda kidogo kuliko sana

Bora kupenda kidogo kuliko sana

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua atakutesa sana.

Naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nilikua naye ila matokeo yake upendo wangu akauchezea, usipende kupita kiasi utaumia sana moyo wako bure.
 
Kupenda kidogo ndo wanapendaje hem tupe somo hilo namna ya kuwapimia
 
ulimpa mchezo? Ilimfulia? Ulimpikia? hahahahaaa haaaaapo ndio ulikosea

If you can get free milk why keeping a cow ( kwa sauti ya Mama Lwakatare) Njoo PM tufanye counselling session free of charge
 
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua atakutesa sana, naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nlikua naye ila matokeo yake upendo wangu akauchezea, usipende kupita kiasi utaumia sana moyo wako bure.

Kwa ulikuwa haujui
 
ya bolingo, ya bolingo, posa ya bolingo
 
Upendo haupimiki, ukipenda penda ukitendwa nenda....anza upya penda tena



Word Evelyn Salt

Kupenda ni kazi ya moyo baada ya nyie kuachana acha kila kitu don't get attached.....

Mtu unampenda anakutesa basi akupendi so wewe acha kumpenda basi mpende mwingine!
 
Last edited by a moderator:
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua
atakutesa sana, naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nlikua naye ila matokeo yake upendo wangu akauchezea, usipende kupita kiasi utaumia sana moyo wako bure.
Kwanini upend sana wakati wanawake wengi sana hiv
 
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua atakutesa sana, naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nlikua naye ila matokeo yake upendo wangu akauchezea, usipende kupita kiasi utaumia sana moyo wako bure.

mkuu yaan umeguxa palepale, nina umri wa 25 yrs but nshawacharaza zaid ya 40 yote hyo ilitokana na kumpenda girl mmoja hv ambaye 'nlinunua hisa zote za moyo wake haraf ckupata GAWIO" baada ya hapo nkageuka kuwa big player, kwakwl aliniumiza xana yule girl, mpaka leo msamiat wa KUPENDA nshaudelete kabxa moyon mwangu, ushaur jaman '2CPENDE MAZMA'
 
Back
Top Bottom