Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari za shamrashamra za Xmass wanaMMU. Kama heading inavyosomeka. Siku hizi mtu ku engage katika mahusiano na mke wa mtu imeonekana kuwa dili kuliko kwa msichana/mwanamke ambaye hajaolewa...
1 Reactions
109 Replies
21K Views
Mwaka 2015 huooooo unaisha na leo natamani kuyazungumzia kulingana na kichwa cha habari cha mada hii. 1)TAFUTA MKE AU MUME Hii itakuwa msaada wa kukujengea heshima ndani na nje ya jamii yako ila...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Tuanzapo mahusiano tunamini huyu sawa na yule lakini rahasha ebu tukipata wapenzi tutulie hata tukigundua mwenza wetu hawajatulia basi sisi tutulie tujikinge tu na maradhi mwisho wa siku nao...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Yaani wanapokuwa sita kwa sita sijui akili zao zinaendaga wapi maana huwaga hawakumbushii suala la uvaaji wa kinga hata kama hajui status ya boy wake. Mi imenitokea kwa mademu kama watatu hivi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Umefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi? Maana maadili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu salamu na heri ya mwaka mpya (2016) Kiukweli mwaka nimeuanza vzr nimetoka kufurahia na rafiki zangu ni burudaani. Ila sasa nimerud kwangu huku nikiwa bwax kdogo kama kawaida raha ya pombe...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Uefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Uefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hamna asiyekubaliana na hili kuwa mkeo akitembea na mwanaume nje ya ndoa yenu inauma sana na pale utakapogundua kakubambikia na watoto wenu kuwa sio damu yako hapo utatamani usingezaliwa maana...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Wanaume mlooa jueni kuzihendo ndoa zenu nyie ndio mmekua chanzo cha kuharibu watoto wetu mnaturudia usiku mkiwa mmelewa, mnatutukana mbele ya watoto mnatupiga nk, mtoto hujifunza baya na zuri...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Heri ya X mass wadau wa jukwaa pendwa la MMU.Tarehe 20 ya mwezi huu nlileta mada hapa jamvin ambayo ni hii Niko njia panda...
3 Reactions
132 Replies
14K Views
Habari wakuu.. Kuna mdada mmoja humu ndani bhana alinikosha sana na comment yake moja kweny thread flani hivi mwaka 2015. Alicomment hivi... "dushe mkononi.. Papuchi kwa jirani" Dah.. huyu dada...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Happy new year MMU ladies and gentlemen. On my side I give Glory to God for keeping me safe and sound to this 2016..... hopes you too..... Kasie this time alizongwa dakika za mwisho kabla...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu Mimi nina kaka yangu(sio wadamu) .sasa huyu kaka yangu ameoa tena anasema mke wake alimfukuzia for 3 years kabla ya kukubali na kumuoa tena alimkuta bikra na anampenda sana. Sasa...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
UKIIBA KITU HIKI UTABAKI NACHO MILELE Ukiiba fedha huwezi kubaki nazo milele, ipo siku utakamatwa kwa wizi wako na hata usipokamatwa basi utazitumia na zitaisha. Ukiiba uongozi hutakaa nao milele...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Mambo madogo yavunjayo ndoa. 1. Ulevi 2. Umbea 3. Pedi chafu kutupa uvunguni 4. Umaskini 5. Uvivu 6. Ulafi 7. Wizi 8. Kujamba mbele ya mpenzi wako 9. Kunya bila kufunga mlango (self...
2 Reactions
48 Replies
9K Views
Habari za leo wapendwa! Naombeni mawazo yenu juu ya hili swala lilikuwa Dogo sasa naona limekuwa tatizo kwangu, Nina mke na tuna mototo mmoja mototo wetu ana miaka miwili kasoro sasa! Tatizo...
4 Reactions
110 Replies
19K Views
kuna mtu anahitaji msaada wangu na nahisi siwezi kumshauri vizuri sana kutokana na itikadi zangu dhidi ya wanaume. Huyu dada kanijia, alikuwa na mpenzi wake wamekaa wote kwa miaka 2 na walikuwa...
0 Reactions
73 Replies
10K Views
Wakuu naomba kuuliza, kugegeda na kupiga bao moja kila siku au kila baada ya siku moja, na kugegeda ukapiga bao tatu au tano ikisha ukakaa wiki au mwezi ndo ukagegeda tena, kiafya ipi bora hususan...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…