Ndoa hizi!!!

Cereal Killer

Senior Member
Aug 17, 2015
131
55
Habari wakuu

Mimi nina kaka yangu(sio wadamu) .sasa huyu kaka yangu ameoa tena anasema mke wake alimfukuzia for 3 years kabla ya kukubali na kumuoa tena alimkuta bikra na anampenda sana.

Sasa tatizo la huyu jamaa ni malaya sana tena sana yaani sijaona mfano,kwake kuzini nje ya ndoa ishakua kama kawaida,anatembea mpaka na malaya na anaweza hata akakopa ela akamfata mwanamke nje ya mkoa huku ana mke,mimi hua anansikitisha sana,nishajaribu kumwambia anaishia kuniambia mimi udhaifu wangu ni wanawake.

Na hua inamcost kifedha sana plus mikosi kibao lakini hakomi na anajua hasara anayopata ila hajifunzi,maskini mke wake ni mstaarabu na mwenye dini ila yeye dah mi mpaka namuonea huruma wife wake.

Yaani mi binafsi sifurahishwi hata kidogo na natamani abadilike,je naweza nkamsaidia vp huyu kaka?
 
Kwa nini watz tunakuwa wanafiki? Mwambie ukweli huyo ndugu yako. Ukiona hasikii tafuta watu wenye ushawishi kwake mwambie. Hata asipobadilika walau dhamira yako itakuwa Safi.

Kuna rafiki yangu mmoja alipobarehe (wakati huo alikuwa na miaka 17) alianza kutembea hovyo na wanawake. Wengine watu wazima wenye miaka zaidi ya 50. Alikuja kuacha baadae baada ya kumaliza chuo. Akikumbuka matendo yake hua anaumia sana, lakini hua anaumia zaidi sababu hakuna mtu aliyejaribu kumshauri au kumuonya juu ya tabia hii. Iwe ndugu, jamaa au marafiki.
 
Anao wawili
Duh m niljua labda hana angepata angetulia lkn kumbe anao wawili stil bdo chenga. Kuna ukicheche lkn huo wake umepitiliza huyo anahitaji kuambiwa na kufatiliwa kiukaribu. Asije kukulaumu badae kuwa hukumshauri aache hayo mambo. Jitahidi mkuu kumsihi aache hyo tabia. Amna lisilowezekana ni kujiendekeza tu
 
Kwa nini watz tunakuwa wanafiki? Mwambie ukweli huyo ndugu yako. Ukiona hasikii tafuta watu wenye ushawishi kwake mwambie. Hata asipobadilika walau dhamira yako itakuwa Safi.

Kuna rafiki yangu mmoja alipobarehe (wakati huo alikuwa na miaka 17) alianza kutembea hovyo na wanawake. Wengine watu wazima wenye miaka zaidi ya 50. Alikuja kuacha baadae baada ya kumaliza chuo. Akikumbuka matendo yake hua anaumia sana, lakini hua anaumia zaidi sababu hakuna mtu aliyejaribu kumshauri au kumuonya juu ya tabia hii. Iwe ndugu, jamaa au marafiki.
Kwanza hua namwambia pia skwezi mkomalia sana maana kanizidi kama 18 years..
 
Habari wakuu

Mimi nina kaka yangu(sio wadamu) .sasa huyu kaka yangu ameoa tena anasema mke wake alimfukuzia for 3 years kabla ya kukubali na kumuoa tena alimkuta bikra na anampenda sana.

Sasa tatizo la huyu jamaa ni malaya sana tena sana yaani sijaona mfano,kwake kuzini nje ya ndoa ishakua kama kawaida,anatembea mpaka na malaya na anaweza hata akakopa ela akamfata mwanamke nje ya mkoa huku ana mke,mimi hua anansikitisha sana,nishajaribu kumwambia anaishia kuniambia mimi udhaifu wangu ni wanawake.

Na hua inamcost kifedha sana plus mikosi kibao lakini hakomi na anajua hasara anayopata ila hajifunzi,maskini mke wake ni mstaarabu na mwenye dini ila yeye dah mi mpaka namuonea huruma wife wake.

Yaani mi binafsi sifurahishwi hata kidogo na natamani abadilike,je naweza nkamsaidia vp huyu kaka?
Muombee
 
kila mtu na maisha yake na starehe zake huyo ndio maisha aliyoamua kuchagua ,hata mi niko kama huyo mshkaji na ole wako uje kuniletea stori zako tutazinguana kinoma
 
Back
Top Bottom