SEHEMU ZA SIRI

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Dec 6, 2015
18,362
27,183
Umefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi? Maana maadili ya dini hayaruhu kujuana kabla ya harusi.
 
Last edited:
Back
Top Bottom