Kuna njia rahisi sana ambayo watu huitumia kujiona wao ni bora zaidi ya wengine.
Pamoja na urahisi wake, njia hii ni ya hovyo sana kwani hata inapowafanya wajione wao ni bora bado kiuhalisia...
Mabibi na mabwana nawasalimu kwa jina LA Mungu Muumba mbingu na dunia. Km kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, huyu baba ana mke na watoto wa tano wa mama tofauti tofauti, mke wake wakwanza...
Kupima UKIMWI ni vizuri kufahamu afya yako ikoje.Kuna sababu gani kuongozana na wapambe kwenda kupima mimi na mpenzi wangu kabla ya harusi? Mimi na mpenzi wangu tunapendana sana,tunalazimishwa...
Habari wana jf wenzangu, me napenda kuuliza hivi ni kwa mini asilimia 99% wanaoenda nyumba za kulala wageni au geust ni wake za watu na wanaume za watu
Mambo zenu wana mmu
Hili neno linanitatiza, mtu akikuambia" I love u" unatakiwa umjibu vipi? kiukweli mimi huwa nashindwa kujibu.
Naombeni majibu yenu tafadhali
Nmekaa muda sasa wa miaka miwili bila relationship,huku nikitafakari,jinsi maisha yanavyotakiwa kwenda,pamoja na kufanya maendeleo binafs.
Back to the topic,niliwah kuwa kwny mahusiano na dada...
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.
Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.
Tatizo langu ni kwamba na...
Jamaa ana miaka 29 anaitwa Kaydine Colleman Raia wa Marekani amekuwa mmoja kati ya Wanaume walioshika mimba na kujifungua.
Taarifa iko hivi, alizaliwa akiwa mwanamke aliyetimia kabisa na...
Habari zen wana jukwaaa.
Hope mwaka vizuri. Kwa upande wangu naona nina kamkosi
Wanawake watatu waliopita kila tukiachana tuu ndani ya miezi kadhaa wananiambia kuwa wanaolewa sasa nashangaa...
Heri ya mwaka mpya wadau!
Mi najiuliza sana hivi katika uumbaji Mungu anazingatia vigezo gani? Au kuna watu wanapeleka special order ili waumbwe vizuri kuliko wenzao?
Hebu cheki huyu mtoto...
Uefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi?
WANAUME TUNATIA AIBU SANA WAKATI
MWINGINE HEBU TUJIREKEBISHE
Mwanaume mmoja hapa mtaan kwetu aliwatongoza wanawake
watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi
yakinifu ili mmoja wao awe mkewe...
Habari za shamrashamra za Xmass wanaMMU.
Kama heading inavyosomeka. Siku hizi mtu ku engage katika mahusiano na mke wa mtu imeonekana kuwa dili kuliko kwa msichana/mwanamke ambaye hajaolewa...
Mwaka 2015 huooooo unaisha na leo natamani kuyazungumzia kulingana na kichwa cha habari cha mada hii.
1)TAFUTA MKE AU MUME
Hii itakuwa msaada wa kukujengea heshima ndani na nje ya jamii yako ila...
Tuanzapo mahusiano tunamini huyu sawa na yule lakini rahasha ebu tukipata wapenzi tutulie hata tukigundua mwenza wetu hawajatulia basi sisi tutulie tujikinge tu na maradhi mwisho wa siku nao...
Yaani wanapokuwa sita kwa sita sijui akili zao zinaendaga wapi maana huwaga hawakumbushii suala la uvaaji wa kinga hata kama hajui status ya boy wake. Mi imenitokea kwa mademu kama watatu hivi...
Umefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi? Maana maadili...
Wakuu salamu na heri ya mwaka mpya (2016)
Kiukweli mwaka nimeuanza vzr nimetoka kufurahia na rafiki zangu ni burudaani. Ila sasa nimerud kwangu huku nikiwa bwax kdogo kama kawaida raha ya pombe...
Uefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi?
Uefungiwa ndoa na mwenzi wako ambaye hamkuwahi kukutana kimwili kabla ya ndoa.Je ukikuta hana sehemu za siri au *ana mbili*,au ipo lakini umbile lake si la kawaida,hiyo ndoa vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.