Naonekana na slugisha discussion kumbe

bambi_

Member
Dec 16, 2015
52
19
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.

Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.

Tatizo langu ni kwamba na ndicho nilichokuwa nauliza tangu my previous post sema nilianza kwa a story ili tuelewane katika situation kama ile inakuwaje bado wanaume hamuwezi kusubiri?

My question na point ya mimi kuja huku ni...... "KWANINI WANAUME HAMUWEZI KUSUBIRIA NDOA ILI ULALE NA MTU? KWANINI HAMUWEZI KUKAA MUDA MREFU BILA KUFANYA ILE KITU? KUNA NINI HASWA KINACHOWAFANYA MSHINDWE KUVUMILIA?"

That is all i need from yu jf'ers . Despite from my story nataka kujua kwanini bwana wangu hawezi kunisubiri.. nyie ni wanaume kama yeye kwahiyo naombeni ur point of views kama males
 
Its our nature kama vile nyie mnavopenda kujiremba,na ili uweze kujicontrol na hiyo nature ni kua na strong belief kama kua na imani ya dini na hofu kubwa ya dhambi hiyo ndo pekee kinaweza kujicontrol..
 
Its our nature kama vile nyie mnavopenda kujiremba,na ili uweze kujicontrol na hiyo nature ni kua na strong belief kama kua na imani ya dini na hofu kubwa ya dhambi hiyo ndo pekee kinaweza kujicontrol..
Point taken. Thank you
 
Kama ambavyo nyie wanawake hamuwezi kusubiria kuomba hela basi ndivyo ambavyo wanaume hatuwezi kusubiria kuomba sex.
 
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.

Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.

Tatizo langu ni kwamba na ndicho nilichokuwa nauliza tangu my previous post sema nilianza kwa a story ili tuelewane katika situation kama ile inakuwaje bado wanaume hamuwezi kusubiri?

My question na point ya mimi kuja huku ni...... "KWANINI WANAUME HAMUWEZI KUSUBIRIA NDOA ILI ULALE NA MTU? KWANINI HAMUWEZI KUKAA MUDA MREFU BILA KUFANYA ILE KITU? KUNA NINI HASWA KINACHOWAFANYA MSHINDWE KUVUMILIA?"

That is all i need from yu jf'ers . Despite from my story nataka kujua kwanini bwana wangu hawezi kunisubiri.. nyie ni wanaume kama yeye kwahiyo naombeni ur point of views kama males
binadamu sio waaminifu unaweza ukafanywa boya bure kama kweli unampenda kubali kukaa uchi mbele yake huku miguu ukiwa umeitanua chalii

tatizo kuna matapeli wa mapenz wanajisifia kua wanawadanganya wanaume hawawp chochote mwisho wanawakimbia so lazima uish kimachalemachale
 
Atakungoja vipiii wakati nyuchi ni nyingiiina zinapatikana kiurahisi. THE HIGER THE SUPPLY THE LOWER THE DEMAND. Kwaninianunue mbuzi kwenye gunia.

Mi binafsi nakushauri mpeane mambo. NGOJA UMKUTE KIBAMIA WA HAJA AFU NDO ASHAKUOA? Some risks are unecessary.
 
Shukuru hata hiyo miaka mitatu bwana ako aliyosubiri..Wengine hata mwezi hatuwezi
 
Atakungoja vipiii wakati nyuchi ni nyingiiina zinapatikana kiurahisi. THE HIGER THE SUPPLY THE LOWER THE DEMAND. Kwaninianunue mbuzi kwenye gunia.

Mi binafsi nakushauri mpeane mambo. NGOJA UMKUTE KIBAMIA WA HAJA AFU NDO ASHAKUOA? Some risks are unecessary.

Nilitaka kukuita uje utoe somo, thanks uko around!

Happy new year.
 
Kwa nini unisubirishe alafu unaenda mpa mtu mwingine. Ukiulizwa shetani alinipitia.
 
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.

Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.

Tatizo langu ni kwamba na ndicho nilichokuwa nauliza tangu my previous post sema nilianza kwa a story ili tuelewane katika situation kama ile inakuwaje bado wanaume hamuwezi kusubiri?

My question na point ya mimi kuja huku ni...... "KWANINI WANAUME HAMUWEZI KUSUBIRIA NDOA ILI ULALE NA MTU? KWANINI HAMUWEZI KUKAA MUDA MREFU BILA KUFANYA ILE KITU? KUNA NINI HASWA KINACHOWAFANYA MSHINDWE KUVUMILIA?"

That is all i need from yu jf'ers . Despite from my story nataka kujua kwanini bwana wangu hawezi kunisubiri.. nyie ni wanaume kama yeye kwahiyo naombeni ur point of views kama males

JF ni jumuiya ya watu wa aina mbali mbali, usitegemee kupata aina moja ya majibu humu ndani.

Kuna wanaotania pia, kuna wanaomaanisha pia, na kuna wanaodanganya pia!

Soma majibu yote na fanya uchambuzi yepi mema yepi siyo!

Mwisho wa siku akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Atakungoja vipiii wakati nyuchi ni nyingiiina zinapatikana kiurahisi. THE HIGER THE SUPPLY THE LOWER THE DEMAND. Kwaninianunue mbuzi kwenye gunia.

Mi binafsi nakushauri mpeane mambo. NGOJA UMKUTE KIBAMIA WA HAJA AFU NDO ASHAKUOA? Some risks are unecessary.
Shkamoo mdogo wangu....
 
From my previous post naonekana kama na-pretend ila its serious.

Mimi sio mwana jamii forum nmejiunga kwasabbu ni moja wapo ya sehemu niliambiwa nitapata majibu.

Tatizo langu ni kwamba na ndicho nilichokuwa nauliza tangu my previous post sema nilianza kwa a story ili tuelewane katika situation kama ile inakuwaje bado wanaume hamuwezi kusubiri?

My question na point ya mimi kuja huku ni...... "KWANINI WANAUME HAMUWEZI KUSUBIRIA NDOA ILI ULALE NA MTU? KWANINI HAMUWEZI KUKAA MUDA MREFU BILA KUFANYA ILE KITU? KUNA NINI HASWA KINACHOWAFANYA MSHINDWE KUVUMILIA?"

That is all i need from yu jf'ers . Despite from my story nataka kujua kwanini bwana wangu hawezi kunisubiri.. nyie ni wanaume kama yeye kwahiyo naombeni ur point of views kama males
Ataaminije kama unamiliki Kei au labda unazo mbili??? Ushawahi kumwonyesha japo kwenye picha???
 
Cku hizi mbuzi hauzw kwenye gunia....watu wanaogopa kupigwa mkenge
 
Back
Top Bottom