Heeeee! Kumbe ulishaachwa na hadi sasa hujaoa! lazima una matatizo weweMambo vp. eti ni swali gani ambalo hupendi kuulizwa? binafsi sipendi kuulizwa eti
1.Utaoa lini?
2.Kwa nini mliachana?
3.Unafanya nini?
nafungua mjadala rasmi karibuni
Mambo vp. eti ni swali gani ambalo hupendi kuulizwa? binafsi sipendi kuulizwa eti
1.Utaoa lini?
2.Kwa nini mliachana?
3.Unafanya nini?
Ujue mzinga wa pesa huoNikuulize kitu?..........