kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Tangu zamani ni wavulana ambao walikuwa wanaona sifa kuwa katembea na wasichana. Kwa kawaida wasichana walikuwa wasiri sana hata akikukubali basi atakudanganya kuwa alibakwa kubikiriwa na hajawahi kukutana na mwanaume tena wewe ni wa pili. Ila hili la huyu dada limenisitua....
"...Kufuatia ishu hiyo, gazeti hili lilimsaka Gigy ili afunguke juu ya tukio hilo ambapo alikiri kukutana na kulala na jamaa huyo hotelini hapo..." Hivi ndugu zangu imefikia wakati mtoto wa kike kutamka hadharani kuwa ame-do na fulani na akaona fahari? Nadhani U-Super Star hapa kwetu tunaweza kuufananisha na uchangu!
Endelea:
Gigy, msanii Tekno ukweli waanikwa
"...Kufuatia ishu hiyo, gazeti hili lilimsaka Gigy ili afunguke juu ya tukio hilo ambapo alikiri kukutana na kulala na jamaa huyo hotelini hapo..." Hivi ndugu zangu imefikia wakati mtoto wa kike kutamka hadharani kuwa ame-do na fulani na akaona fahari? Nadhani U-Super Star hapa kwetu tunaweza kuufananisha na uchangu!
Endelea:
Gigy, msanii Tekno ukweli waanikwa