Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,551
Za mliko?? Mimi sina mengi zaidi ya kuuliza Swali moja tu. Hivi wanawake au mabinti walioko kwenye ndoa au wanaofaa kuolewa wana sifa gani hasa?? Mana mhmmhhmmhhmmhhmmhmhhmhhhhmmhhhmmmmmhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mtu anataka kuoa masharti mganga akasome yani masharti miaaaaaa hakuna hiki hakuna kile kule sijui mavazi sijui nywele kucha rangi nyokko nyokko nyiiiiingiii Khah!!!
Wanawake wa vimini suruali pensi mibato kucha ndefu kupaka rangi kuchoma nywele and the alike eti huwa hawaolewi?? kaushi eti kama Arnold Schwarzenegger heh unaulizwa pambano wapi??? Uvae hivi unaulizwa kuna fasheni shoo??
Limtu lenyewe lihandsome kshenzi Halafu lina chapaa sasa tatizo old model mpaka aibu mambo yakizamaniiiiiii ila linafocus aisee habari za starehe za kijinga jinga sijui out hakunaaa Unataka soda wine chips kuku mazagazaga yeyote sema yataletwa sijui out sahau all in all ni a man of vision afu sio kicheche but hizo shurti Mhmhmhmmhmhmh! Sometimes ndoa ni kama utumwa flani kwakweli.
Wanawake wa vimini suruali pensi mibato kucha ndefu kupaka rangi kuchoma nywele and the alike eti huwa hawaolewi?? kaushi eti kama Arnold Schwarzenegger heh unaulizwa pambano wapi??? Uvae hivi unaulizwa kuna fasheni shoo??
Limtu lenyewe lihandsome kshenzi Halafu lina chapaa sasa tatizo old model mpaka aibu mambo yakizamaniiiiiii ila linafocus aisee habari za starehe za kijinga jinga sijui out hakunaaa Unataka soda wine chips kuku mazagazaga yeyote sema yataletwa sijui out sahau all in all ni a man of vision afu sio kicheche but hizo shurti Mhmhmhmmhmhmh! Sometimes ndoa ni kama utumwa flani kwakweli.
Last edited by a moderator: