EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Habari wadau,
Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo sebuleni ye kalala chumbani, akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi nipo sebuleni ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hospitali wakasema haumwi.
Alinambia ana mimba but cha ajabu nilimwambia akapime nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupigwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sana,zaidi alijipima mwenyewe tu,shughuli zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nikistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zamani sana.
Kazini tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirudi ni kulala tu yaani simuelewi wakuu sjui tatizo nini, kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka, nimeshakaa naye sana kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nikaja naye sebuleni kumweleza but wakati naongea ye anasinzia tu wakati nimetoka kazini jioni nimekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.
Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo sebuleni ye kalala chumbani, akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi nipo sebuleni ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hospitali wakasema haumwi.
Alinambia ana mimba but cha ajabu nilimwambia akapime nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupigwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sana,zaidi alijipima mwenyewe tu,shughuli zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nikistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zamani sana.
Kazini tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirudi ni kulala tu yaani simuelewi wakuu sjui tatizo nini, kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka, nimeshakaa naye sana kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nikaja naye sebuleni kumweleza but wakati naongea ye anasinzia tu wakati nimetoka kazini jioni nimekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.