Mke wangu muda wote ni kulala

EL ELYON

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
1,563
1,886
Habari wadau,

Mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja, tatizo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye akitoka kazini ni kulala nikirudi au tukirudi wote yeye break ya kwanza mi nipo sebuleni ye kalala chumbani, akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi nipo sebuleni ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hospitali wakasema haumwi.

Alinambia ana mimba but cha ajabu nilimwambia akapime nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupigwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sana,zaidi alijipima mwenyewe tu,shughuli zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nikistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zamani sana.

Kazini tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirudi ni kulala tu yaani simuelewi wakuu sjui tatizo nini, kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka, nimeshakaa naye sana kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nikaja naye sebuleni kumweleza but wakati naongea ye anasinzia tu wakati nimetoka kazini jioni nimekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.
 
ana muda gani tangu aanze hio tabia??

inawezekana mimba ikawa ndio sababu ya yeye kujiskia uchovu..

ngoja tuwasubiri wataalam wa hili
 
Karibia mwezi sasa bt mimba ya kwanza mbona haikuwa hivi...aisee
 
Habari wadau mimi nna mke wangu now tuna miaka nane na mtoto mmoja,tatzo mke wangu huu ni mwezi sasa yeye aktoka kazin ni kulala nkirudi au tukirud wote yeye break ya kwanza mi npo sebulen ye kalala chumban,akiamka ni kula na kuoga na kurudi lala,wkend ndo hivyo ni kulala tu mi npo sebulen ye kalala room no sex no what nkimuuliza anaumwa alikwenda hosp wakasema haumwi,alinambia ana mimba bt cha ajabu nlimwambia akapme nijue ni ya mda gani aligoma akidai hataki kupgwa x ray kwasasa labda mpaka baadaye sn,zaid alijpma mwenyewe tu,shughuri zote anafanya dada wa kazi,tulikuwa tunaoga wote bt now anaoga mwenyewe kimyakimya kisha anakwenda kulala nkistuka kwenda mcheki nakuta alishalala zaman sn,kazin tulikuwa tunatoka wote bt now mi naoga ye anavaa fast anaondoka akirud ni kulala tu yaan smuelewi wakuu sjui tatzo nn...kuna mtu alinambia ni jini mahaba. Ushauri wenu maana nahisi taanza kuchepuka,nmeshakaa naye sn kumweleza bila mafanikio na hata mda huu nilimwamsha nkaja naye sebulen kumweleza bt wakat naongea ye anasinzia tu wakat nmetoka kazn jion nmekuta kalala,sasa aliposkia mtoto analia ye mbio kaenda ndo jumla kaenda kulala hakurudi tena.

Ana spiritual husband huyo.believe me.solution ni kutolewa hilo dudu kwa mamlaka ya jina la Yesu
 
Mkuu ni vyema mkaenda hospitali mkachukua vipimo ili ujue kama ni mjamzito au la , au kama kuna kitu kingine kinamsumbua .
 
Ingekua anaigiza kulala basi una haki ya kulalamika.km kapima kakuta yuko preg then shukuru Mungu mwombee.the fact that analala ya ukweli then no nid kuworry.
Ua about to b a father of two man.....kip smiling
 
Hospital si kagoma eti hataki kupgwa x ray, mimba alijpma tena mm spo akaja npa taarifa tu ana mimba..bt kinachonikera mi ni kutokuonesha kunijali kama mumewe...sku moja nlihitaji tunda nkaambiwa nifanye haraka kwan hajisikii kufanya khaaaa.
 
Wanzako wana mkafin kazin huyo.....hakuna cha jini mahaba wala nn....stuka
 
Hospital si kagoma eti hataki kupgwa x ray, mimba alijpma tena mm spo akaja npa taarifa tu ana mimba..bt kinachonikera mi ni kutokuonesha kunijali kama mumewe...sku moja nlihitaji tunda nkaambiwa nifanye haraka kwan hajisikii kufanya khaaaa.

Jini huyo mkuu
 
Mimba yenyewe natabiriwa tu pengne wk mbili au tatu aisee huyuuu huyu ngoja nivute sku tu.
 
Hospital si kagoma eti hataki kupgwa x ray, mimba alijpma tena mm spo akaja npa taarifa tu ana mimba..bt kinachonikera mi ni kutokuonesha kunijali kama mumewe...sku moja nlihitaji tunda nkaambiwa nifanye haraka kwan hajisikii kufanya khaaaa.

kwa lazima x ray itumike? huyo mwongo sio mimba wala nini shtuka mkuu anza kufanya uchunguzi.

Hahaha. Bado najaribu kuunganisha u-jini mahaba na kulala, ila naona nyota tu.

hilo likimpata mtu linakuwa linamridhisha kabisa hadi anakuwa hana hamu tena na mwenza wake.
 
Back
Top Bottom