Kila nikikumbuka naumia sana

Kila nikikumbuka naumia sana

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,465
Reaction score
860,395
Kwamba kifanyio kina expiry date... Hiki kitu kinaumiza mno! Kwamba hakuna kufanya utundu tena wala kuruka ruka naumia sana tena sana! Kama kungekuwa na jinsi ya kuichakachua hii expire date nafikiri wengi sana wangechakachua
 
Mmmmmh kifanyio kina expire date? Kifanyio kipi? Cakufanyia nini? Expiredate yake ni baada ya muda gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom