Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
NI LAZIMA UPANDE KABLA HAUJAVUNA
Ni lazima upande mbegu kabla ya kuvuna mazao.Unavyopanda mbegu nyingi zaidi ndivyo unavyovuna mazao mengi zaidi. Ukipanda mbegu kiganja kimoja, utavuna gunia moja, ukipanda bakuli moja utavuna magunia kumi.
Mara zote unavuna zaidi ya unachopanda.Usihukumu kila siku kwa mavuno unayopata, bali hukumu kwa mbegu unazopanda.
Je, wewe unapanda mbegu gani?
Ni lazima upande mbegu kabla ya kuvuna mazao.Unavyopanda mbegu nyingi zaidi ndivyo unavyovuna mazao mengi zaidi. Ukipanda mbegu kiganja kimoja, utavuna gunia moja, ukipanda bakuli moja utavuna magunia kumi.
Mara zote unavuna zaidi ya unachopanda.Usihukumu kila siku kwa mavuno unayopata, bali hukumu kwa mbegu unazopanda.
Je, wewe unapanda mbegu gani?