Mara nyingi huwa naona post nyingi sana za kuwaponda hawa viumbe lakini kwa kweli kiuhalisia wamekuwa watu wa muhimu katika maendeleo yoyote kwa wanaume, huwa wanatupa suport sana ....nikianza na...
Wadau,
Huu ni uzoefu wangu binafsi, nimegundua kwamba si salama sana kwa wenye ndoa kwenda kunywa kwenye bar ambazo pia zina guest house/lodge.
Kwa sasa bar nyingi unakuta pia kuna guest house...
Napenda kutoa ushauri kwenu wadau,
Kumekuwa na ongezeko la magonjwa haya kwenye jamii. ukimwi umekuwa ukipungua ingawa kwenye baadhi ya mikoa umekuwa ukiongezeka na prevalence iko kwenye 5.1%...
Habari za Jumatatu wanajamvi,
Direct to the topic,Je inawezekana kuwa na mahusiano na mwanamke alienizidi umri wa miaka 5, yani nikitembea nae huwezi kugundua kama tuna date, utahisi tu ni mtu na...
Wanawake wafuatao hawanivutii kabisa mwaka huu wa 2016:
1. Wenye vitambi
2. Wenye matumbo yaliyojitokeza pembeni kama chura amebanwa na mlango
3. Wenye matako flat cha ajabu ni lepelepe
4...
Naombeni ushauri wenu,
Ninamchumba pindi niko na job nilimwambia anipeleke kwao alikataa na kunijibu kwamba ni mapema kwa bahati mbaya nimeacha kazi ananiambia hawezi kunipeleka kwao hadi niwe na...
Habari wana jukwaa,
Mimi ni binti mwenye umri kati ya miaka 25 hadi 30 na mwaka 2010 wakati niko kwenye maandalizi ya ndoa na aliyekuwa mchumba wangu tuliambiwa tukapime, na ndipo nilikutwa...
Habar zenu wanaJF,
Hapa nilipo mwenzenu namawazo kedekede moja wala kumi na mbili haikai.Mpenzi wangu tuliependana kwa dhati mahusiano yetu yapata miezi 8,tukiishi pamoja kwa furaha japokuwa...
Salaam,
Kabla ya yote, mfano wa simba kuua cubs (watoto wa simba jike) haumaanishi na wewe uue watoto uliomkuta nao huyo mwanamke. Maana yake ni kwamba kuna approach tofauti kuhusu swala hilo kwa...
Habari zenu wadau,
Baada ya kuwa na stress zilizotokana na kutemana na binti ambaye nilimpenda kwa kiasi flani hivi, nikaamua kumtafuta huyo binti ili kupunguza stress na binti hiyana analala na...
MIAKA KUMI IJAYO
NI MICHACHE SANA UTAJIVUNIA NINI?
Miaka kumi ijayo hutajivunia ni kwa haraka kiasi gani ulikuwa unajibu jumbe za simu unazotumiwa, au kupokea kila simu iliyokuwa inapigwa.
Miaka...
Tatizo kubwa duniani linalofanya wengi tushindwe kufanikisha malengo ni kukwepana na fursa, sio kwamba hazipo. Unakuta wewe ukipita njia hii fursa imepita njia nyingine.
Sasa kwa mfano hawa...
There is this young lady, my wife's younger sister whom we have raised since her high level education, last year she concluded her university education
For sometimes now amekua aki go out na...
Habari wanajamvi?
Nimetafakari sana haya mapenzi ya kileo tofauti na baba zetu walikuwa wanafanyia kitandani ila mapenzi ya leo yanafanyikia sehemu mbalimbali. Wengine juu ya kochi, juu ya meza...
Ni hivi: Nimekuwa na matatizo binafsi yanayonisumbua. Sasa mchumba wangu kanishawishi anipeleke kwa mganga (ustaadh) kwamba ana uhakika pale ndo utakuwa mwisho wa matatizo yangu. Huyo mganga...
Usipende kuchonganisha watu ili wewe ubaki kuonekana mzuri kwa pande zote mbili, maneno ya huku wapeleka huku na ya huku wapeleka huku... This is 2016 jaribu kutumia muda mwingi kufanya...
Bila shaka mko vema na mwaendelea vema na majukumu yenu ya hapa na pale. Kwa wagonjwa ama mafadhaiko mbalimbali tunawaombea hali zirudi kua sawa....
Nisiandike mengi sana ya kuwachosha niende...
Si vibaya kwa binti kumgusa gusa bwana wake wawapo kwenye Private ndinga (Gari binafsi). Ni jambo lisilozuilika, lakini lisipofanywa kwa tahadhari, laweza kuwa chanzo cha ajali.
Unakuta Gari iko...
Za sahizi wadau wenzangu,
Moja kwa moja niende kwenye maada husika nitazungumzia maeneo mengine tofauti na bedroom unayoweza ku enjoy sex na kufanya msibore.
1. Jikoni (kitchen counter): Hapa...