Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
Usipende kuchonganisha watu ili wewe ubaki kuonekana mzuri kwa pande zote mbili, maneno ya huku wapeleka huku na ya huku wapeleka huku... This is 2016 jaribu kutumia muda mwingi kufanya yanayompendeza Mungu (UPATANISHI), usifanye mwenzako aonekane mbaya mbele ya macho ya watu ili wewe uonekane mzuri.....
Jaribu kuongelea vitu vizuri alivyo navyo na sio vibaya tu.... Don't take others flaws for granted....
Jaribu kuongelea maendeleo na kufanya maendeleo. Jaribu kuwa na watu wenye busara na maendeleo uvune jambo.
Jaribu kuongelea vitu vizuri alivyo navyo na sio vibaya tu.... Don't take others flaws for granted....
Jaribu kuongelea maendeleo na kufanya maendeleo. Jaribu kuwa na watu wenye busara na maendeleo uvune jambo.