yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,917
- 4,169
Ni hivi: Nimekuwa na matatizo binafsi yanayonisumbua. Sasa mchumba wangu kanishawishi anipeleke kwa mganga (ustaadh) kwamba ana uhakika pale ndo utakuwa mwisho wa matatizo yangu. Huyo mganga wanafahamiana sababu alishawahi kumtibu.
Sasa najiuliza, niende huko kweli?? Au ndo naenda kutengenezwa nipende milele na kukalishwa sijui wanaita.
NB: Nilishaenda nikatanguliza kiasi flani cha pesa lakini hakuna kazi iliyofanyika kutokana na ubize uliokuwepo, hivyo alituahidi turudi siku mbili baadae. Na nilipofika nyumbani ndo nikaijiwa na hili swali la niende au nisiende? Na je nisipoenda nimkwepe vipi huyu mchumba wangu ili asijue kama nimekwepa na tuendelee vizuri.
Niko njia panda wadau.
Sasa najiuliza, niende huko kweli?? Au ndo naenda kutengenezwa nipende milele na kukalishwa sijui wanaita.
NB: Nilishaenda nikatanguliza kiasi flani cha pesa lakini hakuna kazi iliyofanyika kutokana na ubize uliokuwepo, hivyo alituahidi turudi siku mbili baadae. Na nilipofika nyumbani ndo nikaijiwa na hili swali la niende au nisiende? Na je nisipoenda nimkwepe vipi huyu mchumba wangu ili asijue kama nimekwepa na tuendelee vizuri.
Niko njia panda wadau.