Hivi kwanza haoni kama ni laana...usithubutu kumfanyia huo ukatili mkeo/mpenzio mimba abebe mwenyewe jina la mtoto apewe la x hivi unafikiri akijua itakuwaje, wengine huwa mnachokaga kuwa na amani then mnaanza kusema ndoa ndoa ni changamoto!!
ha ha a patachimbikawewe jee Mama mtoto wako akitaka kumpa jina mtoto la X wake walioachana ki roho safi utaweza kumeza?
Ungea taratibu majirani watasikia kuwa mtoto sio wakeUenda hata huyo mtt ni wa ex wa gf wako
haha ha mtoto anafanana sura na baba wa chumba cha pili?Una mbwembwee afu ukute sio mtoto wako sasa