Kipi bora?

Kipi bora?

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,027
"Nimekuwa ktk mahusiano na wasichana tofauti tofauti ktk nyakati tofauti, relationships hazijafanikiwa kumpata yule ambae nilitegemea atakuwa wangu wa milele,wasichana wengi nlokutana nao ni money oriented,wasichana wanapenda pesa utafkiri walizaliwa benki!!sasa nimeamua sitaki demu,yani sitaki commitment na demu yeyote kwa sasa!!Ila hamu yangu ya ngono ntaimalizaje?je,ninunue malaya au nipige nyeto? Kipi bora? Naomba ushauri wako bro"
HUYO NI MSHKAJI WANGU KANIOMBA USHAURI,NAMI NIMEKWAMA,NAOMBA NISAIDIWE MAWAZO TOKA KWENU WADAU.THX
 
Aachane na kufikiria hivyo vitu kama anazinguliwa mpaka wakati wake utakapofika...
 
Kuna thread ya madildo humu itafute hope itamfaa kwa matumizi ya nyumbani, shambani hata ofisini.
 
We mkabidhi demu hata ATM machine uone kama hajasahau mpaka babayake.
 
Mwambie ale mkono tu. Maana hamna namna

Sema huyo mshikaji wako ana mawazo ya kifala
 
Hela zenyewe unazo lakini?

Bora hao wa money oriented, wengine hata hawaeleweki wanataka nini.
 
Apige nyeto kwa kutumia steel wire +super glue
 
Akomae kutafuta demu mwenye msimamo

Alafu Huyo jamaa yako ni JIPu sirias, huwezi kusema katika ulimwengu huu unakosa commited girl friend unless labda bado mvulana.....

Huwezi Ku risk maisha kwa sababu za kijinga kama Hiyo....

Mwambie aache kuwa pimbi, huwezi kutafuta Malaya kwa vile umekosa Wa msichana Wa maàna,

Aaache uoga Wa majukumu. Pesa za kumpa Malaya ndio hizo hizo za kumpa Huyo demu wake money oriented.

Unaanzaje kufananisha punyeto na real sex?? Kwa Hiyo yupo jamaa anatafuta dem only for sex,labda....
 
Pumbavu kweli nani kasema kulala na wanawake wengi ndio kupata demu mzuri? Hahahaa
 
Back
Top Bottom