Wakuu msaada.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 20 sijawahi fanya mapenzi tangu nizaliwe na lengo langu ni hadi ndoa kutokana na imani yangu i mean ulokole.
Lakini nowdayz nimekuwa katika...
Imeshakuwa mara nyingi sasa hawa jamaa wananiharibia mission zangu.
Yaani utakuta siku hiyo nimeona mtoto mkali maeneo flan sasa ile namlia mingo ili niweze kusema nae mara bodaboda huyu hapa...
I'm a man 33 yrs of age, currently working and living in Dar. I'm looking for a Christian female life mate, living or wiling to live in Dar, preferably employed of age ranging from 26-28. A...
MAISHA NI MAIGIZO, JIULIZE WEWE UNAIGIZA NINI?
Maisha ni maigizo.Ukienda kwenye msiba, hata kama mtu sio wa karibu kwako, ni lazima utakuwa na huzuni.
Hata kama una furaha kiasi gani siku hiyo...
Masomo ya elimu ya juu kijana kamaliza mtandaoni(on-line education)
Ajira kapata mtandaoni
Fedha anawatumia kwa njia ya mtandao
Hata sokoni ananunua kwa njia ya mtandao
Sasa iweje mumkatae...
MAHABA NIUE...(28)
AGE....(18+)
ILIPOISHIA
"joylah"
kwa mshngao Ramsey alimshangaa
na kutotegemea kama ange mkuta
yupo mahali pale..
TWENDE KAZI
"sijui naku fananisha"
aliongea Joylah huku...
Nina rafiki yangu wa karibu sana ni wa 90 ni chili wa Arusha ila kizali akahamia Dar na amejenga mjengo wa maana tunaishi sehemu moja mimi kitambo nikihamia apa nimehamia na mke.
Jamaa alikuwa...
habari wadau.
kuna swali najiuliza sana hasa kwa hali nayoiona miaka hii tofauti na zamani.
nilimaliza chuo kikuu 2010, age nipo late 20s, katika watu wanaonizunguka.. na niliosoma nao...
Wasalaam wakuu,
Ni matumaini yangu kuwa kuna baadhi yetu tupo katika mahusiano. Mahusiano yenye mambo mengi kama kukera, kuliza na kuumiza.
Wengi walio katika mahusiano wamefika walipo wakipita...
Usaliti ni Asili ya Mwanaume
Ni asili ya mwanaume kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja au kutoka nje ya ndoa na hata mahusiano. Mara kwa mara nimewasikia watu wakisema hivi na nimekuwa nikijiuliza...
Leo tunazungumzia ni kwanini wanaume wengi hupenda kutoka nje ya ndoa zao ama kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
Haimananishi kuwa mwanaume anapotoka nje ya mwenzi wake amemchoka ama hamtaki...
Karatasi nakamata,kueleza yalosibu
Nna kipande cha kashata,nlichonunua Bububu
Kashata yenye utata,utamuwe wasulubu
Nimeziona kashata,ya bububu ni pekee
Kitaka kula najing'ata,kwa utamu so...
Mimi ni kijana mwanaume mwenye miaka 28, nahitaji msichana kwa ajili ya kufunga ndoa. Umri kati ya 20-28, awe mcha Mungu. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane PM.
Najua ulinipenda na ulipenda mapenzi yetu yafike mbali zaidi lakini kwangu haikua hivyo.
Nilikuona rafiki tu, kwanza umri wetu unafanana. Wewe mwanamme una safari ndefu kufikia malengo yako so...
Ninakusaidia kwa kila jambo unaloniomba na wala sikuiti masikini waliombaomba kwangu.
Ila inatokea siku nakuwa siko fresh unaponiomba nikutatulie shida zako. Ila baada ya kushukuru unatoa ruga...
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha...
Mimi na mzazi mwenzangu tumeishi miaka sita na tuna watoto wawili, mkubwa yuko darasa pili.
Bahati mbaya nimegundua mwenzangu anachepuka na mwanaume ambaye tunaishinaye maeneo ya jirani, pia...