Boda boda mbona mnapenda kuniharibia

Boda boda mbona mnapenda kuniharibia

Bigbootylover

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
2,847
Reaction score
1,836
Imeshakuwa mara nyingi sasa hawa jamaa wananiharibia mission zangu.

Yaani utakuta siku hiyo nimeona mtoto mkali maeneo flan sasa ile namlia mingo ili niweze kusema nae mara bodaboda huyu hapa hajaitwa wala nini atamkomalia demu hata kama alikuwa hana nia ya kupanda pikipiki atapanda tu.

Muwe mnasubiri mpaka muitwe jamani, yaani unamlia mingo mtoto mzuri hasa mkiwa mnaongozana nae road, unamhesabia atua ili uanze mazungumzo nae, pengine amekutoa mbali ila ukawa unamtafutia target ili ufike eneo ambalo utaweza kuongea nae kwa huru, heeeeee boda boda hata hajulikani katoka wapi, hajaitwa na demu wala nini anakomaa kumbeba hata bure. Dah!

Hawa jamaa wameshanivurugia mipango yangu mingi sana ya kuhusu watoto wazuri, muwe mnasubiri mpk muitwe basi dah..
 
Inawezekana swaga zako ni za kibodaboda ndo maana unashindana nao...kama hutaki shida hii iendelee jaribu kubadili swaga kijana
 
Ndio tatizo la kutembea kwa miguu,
Nunua gari uone kama bodaboda ztakuzibia
 
siku nyingine mtie vitasa huyo dereva wa bodaboda
 
Awa bodaboda hua wananikera sn, yaan ata hujamuita anakuja afu anasimama anakuzuia njia kwa mbele. kuna cku nlitaka kumkata makofi
 
Back
Top Bottom