Habarini wana jukwaa, Natumai mko poa.
Bila kupoteza muda niende kwenye ujumbe tajwa hapo juu.
Kuna Dada ambaye ni rafiki yangu wa karibu kwa kipindi kirefu sasa tumekua kama ndugu.
Tumekua...
Kuna rafiki yangu yupo kwenye mahusiano na msichana wake kwa miaka saba tangu wakiwa sekondari mpaka leo wamemaliza chuo kikuu wanaendelea poa.
Mimi maishani mwangu sijawahi kuwa kwenye ahusiano...
Nimeolewa miezi miwili iliyopita. Kabla sijaolewa huyu jamaa tulikuwa tunakutana mara chache chache sana. Na tulijuana miaka mitatu kabla ya ndoa.
Na pia kwa kipindi chote tulikuwa tukisex...
Kijana wa kizungu alikuja kuwakilisha mada UDSM kama moja ya hitimisho la PhD programme. Wakati yuko pale alikutana na binti wa kibongo, mwanzo ulikuwa urafiki, kwani mzungu alipata shida...
Habarini,
Kama tunavyojua sisi wanaume sometimes unaweza ukabashiri with 100% accuracy kuwa mwanamke anakutaka kimapenzi kutokana na ishara anazokuonesha, na ikawa ndo hivyo.
Back to the point...
Za ukosefu wa sukari wakuu,
Binafsi napenda jina langu na najivunia kuwa nalo,vipi wengine kuna raha yoyote ya kujivunia jina?
Kama ipo kwanini watoto wanaendelea kupewa majina ya hovyo hovyo...
Habari za hapa wana JamiiForums,
Mimi ni kiijana ambae nina tatizo la kutojiamini kutongoza wasichana hasa mida ya mchana lakini ikifika usiku naweza kutongoza vizuri tu japo bado nakuwa...
Maisha ya maigizo yapo sana mitaani. Kwa mfano unakuta mtu yupo radhi anunue simu ya milioni moja ili tu aonekane na yeye ni class la juu. Au anunue gari ili watu wamuone ana gari, cha ajabu...
Habari rafiki
najitahidi sana kuamini kuwa wanaume ni wazuri ila kila kukicha naona hawa viumbe ni wanyanyasaji, wabinafsi, hawana utu, wauwaji, wabakaji, wanyaganyi, wauwaji, roho mbaya...
Tuna mahusiano ya mwezi 1, nilikutana naye nilivyokwenda kumtembekea classmate wangu ofisini kwake, sasa juzi alhamis nikaanda kalaki, nikasema tutoke.
Tukakaa sehemu sehemu tukapiga vyetu...
Habari zenu wana Jf,
Ni moja ya rafiki zangu ni kijana mkimya, mpole, mcha Mungu, ana heshima na mpiganaji katika kutafuta maendeleo, katika pilika pilika zake Mungu akampa binti mzuri, mpole...
Kumekua na hii tabia ya baadhi ya wanawake kupenda kuomba hela kutoka kwa wapenzi wao, huwa najiuliza tatizo ni nini?
Wao wanahisi sisi wanaume tunapata wapi hizo hela wanakoshidwa wao...
Habari wanaJamiiforums,
Kichwa cha habari cha jieleza.
Leo nataka kuwakumbusha ninyi wanaume wa dot.com na wazamani msiojitambua bado na kulalama lalama tu, unakuta mwanaume amekaa kabisa...
Habari zenu wana JF,
Hali ya hewa leo duh! na waume zetu wa Dar es salaaam waoga baridi kama nini? utasikia leo "baby njoo basi unaona hali ya hewa" ukikataa leo na weekend hii kibuti kinakuhusu...
Natambua uwepo wako humu ndani ya JF,
Soma tuu maana hamna jinsi asome!
Tumekuwa nae kwenye uhusiano hadi kufikia kutambulishana kwa wazazi, Mungu si athumani akapata ufadhili nchi za wenzetu...
Mama huyo anasema alitamani message hiyo iwe kama mpira ili aione airukie na kuishika isiende maana ile ame-press send button ndo akagundua alikuwa anamtumia mume wake na si hawara yake kama...
Leo kuna jamaaa alikuwa anamsumbua wife kiufupi hajui kujieleza manake yeye mara amwambie anataka amtoe out weekend hii, sasa tena anamtaka aende night club muda huu wa usiku so wife kaniambia...
Wadau,
Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja...