Msaada: Nashindwa kutongoza mchana lakini usiku naweza

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
1,714
1,829
Habari za hapa wana JamiiForums,

Mimi ni kiijana ambae nina tatizo la kutojiamini kutongoza wasichana hasa mida ya mchana lakini ikifika usiku naweza kutongoza vizuri tu japo bado nakuwa sijiamini sana (hela inatumika sana kunipa ujasiri).

Kwa kweli nimechoka kutongoza wasichana usiku maana wengi wao nakutana nao sehemu za starehe kama bar,clubs nk ambao wengi mapenzi yao huwa yanaangalia pesa zaidi kuliko true love.

Nisaidieni jinsi ya kupata confidence ya kutongoza msichana mida ya mchana sababu nakutana na wasichana wazuri kitabia na kimuonekano lakini nashindwa jinsi ya kuwa approach.

Nishachoka mapenzi na mabarmedi na makahaba wa usiku nataka msichana mmoja wa kutulia nae ambae nahisi naweza kumpata mida ya mchana.
 
habari za hapa wana jamii forums...mimi ni kiijana ambae nina tatizo la kutojiamini kutongoza wasichana hasa mida ya mchana lakini ikifika usiku naweza kutongoza vizuri tu japo bado nakuwa sijiamini sana (Hela inatumika sana kunipa ujasiri)...Kwa kweli nimechoka kutongoza wasichana usiku maana wengi wao nakutana nao sehemu za starehe kama bar,clubs nk ambao wengi mapenzi yao huwa yanaangalia pesa zaidi kuliko true love... Nisaidieni jinsi ya kupata confidence ya kutongoza msichana mida ya mchana sababu nakutana na wasichana wazuri kitabia na kimuonekano lakini nashindwa jinsi ya kuwa approach.. Nishachoka mapenzi na mabaamedi na makahaba wa usiku nataka msichana mmoja wa kutulia nae ambae nahisi naweza kumpata mida ya mchana!!!
Nenda church kwenye mkesha.
 
Kijana,

Usianze kuongea na mwanamke na mentality ya kumtongoza. Ongea naye kama vile unachat na rafiki yako/class mate/ dada...in that way hata hutojua ni wakati gani ulimtongoza! Pili itakuondolea 'anxiety'.

Ukiwa bize kuanza na kutongoza utaumia sana...
 
Badil mwelekeo wa utongozaj nakuhakikshia utapata mke mwema mchana kweupe moja ya njia utayotumia ni hii!!! jitoe ufahamu paka majivu ukae jalalani nakuzoa taka za mji /jiji binti utaepishana nae tu anza kumsalimia nakufanya unaomba msaada akiwa na roho nzuri utamsoma tu endelea kufaNya ivo mpaka umpate utaeridhia. usipompata basi unagundu maadam uwe smart na hela zako hupati na hata uwe mchafu ombaomba nako hupati? Kitachofuat maombi tu.
 
Kutongoza hakunaga darasa wala formula..Unaweza usiwe na hata nia ya kutongoza lakini mazingira tu yakajiset mkajikuta mmeshaanzisha mahusiano baadae ndo wote mnakuja kushangaa jinsi uhusiano wenu ulivyoonza kimzaha kwa mfano unasafiri bila kujijua ukajikuta umekaa sit moja na binti na safari ni mkoa mmoja hadi mwingine. Kikubwa usichukie kutongoza kama kazi kwamba unasema leo natoka hme naenda kutongoza hapana. Kuwa busy na majukumu yako ya siku automatic tu waweza jikuta umekutana na mazingira safi na salama na kukapata mke, demu ama rafiki wa kalamu.
 
Sasa si uendelee kutongoza gizan kwani kuna shida gani? Au gizan huyo wa kutulia nae hapatikan?
 
Nmecheka cheko la moyo. Mkuu ukitaka kutongoza mchana mpeleke chumban zima taa zote assume ni usiku.
 
Back
Top Bottom