Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanamke akipenda anapenda kweli. Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe. Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako...
9 Reactions
51 Replies
6K Views
Swala la mapenzi ni muhimu na kawaida kwa binadamu hasa pale muda wake unapofika. Yafuatayo ni mambo unayoweza kufanya ili kuongeza hamu, utamu na ashiki kwa mwenzako ili kumridhisha na kuboresha...
3 Reactions
9 Replies
14K Views
Habarini wana jamii. Naombeni mnisaidie, nilitokea kumpenda binti mmoja ambae alikuwa mzuri sana lakini pia alikuwa na msimamo wa kimaisha pia kiimani. Alikuwa ni binti ambae hatetereshwi...
7 Reactions
109 Replies
12K Views
  • Closed
Nikatoa bango langu likionesha vigezo na masharti kuzingatiwa. Akatokea Q dini tupo sawia maana kitaa yupo ila dini inagoma kabisa ie. Muslim vs Christian. Sikujali Q aajiriwe au asiajiriwe mradi...
7 Reactions
113 Replies
8K Views
Kule kwa mfalme Mswati anafaidi sana vibinti under 20 tena bikra pia kwa heshima za watoto wa kiarabu au wapemba wapo radhi akupe min kabang ili kuitunza bikra yake, ukija kwa bongo hapa kupata...
1 Reactions
112 Replies
16K Views
Maan utakuta mwanaume kagomba n mke wake kitu hakun hata mantiki halafu anavimba Kameza chura sababu wala haina kichwa Wal miguu kama haitoshi baasi status za whatasp zinabasilishwa Ka nguo huyo n...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Katika kundi la wanawake ninaopenda kuanzisha nao mahusiano au ninaopenda kua nao ni wenye mikia na wasio wanene, wanawake wanene niliwa exclude kwenye preference zangu na wasio na mikia. Lakini...
9 Reactions
94 Replies
24K Views
Habari wana bodi, Mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa waumini wa kufunga ndoa duniani.Nilikua nikimuona mtu anaoa nilikua namsikitikia sana na kumuona kapotea maboya.Lakini baada ya kuishi maisha...
17 Reactions
52 Replies
6K Views
Hi my name is Princess aged 31 looking for a serious male friend, am a single mother and i am in need of single dad so that we can make a good relationship.
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni...
7 Reactions
245 Replies
22K Views
House girl alitandika kitanda cha bosi wake kama sehemu ya jukumu lake la kila siku. Alipomaliza akakitazama sana kile kitanda cha bosi wake akasema naweza kufa bure bila ya kulalia kitanda kama...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani wana JF,naombeni msaada wenu. Kuna shemeji yangu ana mtoto wa miezi 10, sasa mke wake kapata kibarua sehemu flani,kaniomba nishinde na mtoto wake siku mbili mi nikakubali,na mimi na mtoto...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yaani siku hizi imekua fashion kudanganyana hasa katika mapenzi. Yaani wanawake wamefikia hatua wanafake mpaka maisha mradi tu kuficha ukweli. Unakuta mwengine kinywaji chake Castle Lite lakini...
7 Reactions
58 Replies
7K Views
Wanawake wenye kati ya umri wa miaka 23 mpaka 33 wanaongoza kuwa na wanaume wengi kuliko wenye umri chini ya huo au zaidi ya huo. Sababu kubwa ni kwamba wakiwa katika umri huo wanakuwa...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Huyu Mwanamke kanshangza sana, tumekuwa tukiwasiliana kwa muda wa wiki moja hivi, pasaka nikamualika kwangu Aim yangu apajue, cha ajabu alivyokuja, nimwonyesha dalili zote kuwa mie sina haraka...
1 Reactions
141 Replies
15K Views
Hili jambo limeniuma sana tena sana, wanawake wengi wanaonewa na waume zao bila kusema popote wakijua ndio kuvumilia kumbe hawajui wanajiua pasipo kujua inaniuma sana. Nimeongea nawanawake zaidi...
9 Reactions
71 Replies
9K Views
Langumimi ni hili:Wadada please & please! Mkipendwa mpendeke, Money is not a love, Thamini Uwepo wa mwenzako, Yaani hadi stress nani utamuoa...everygirl is an moneyfirst,moneyloving. Where is...
5 Reactions
67 Replies
6K Views
Jamani uswahilini kuna vituko lakini raha. Kuna njemba imeshusha kipigo cha haja kwa mke akiwa bado hata shedo na lipstick za harusi hazija kauka. Ilikuwaje? Jamaa anasimulia kuwa wakiwa wachumba...
6 Reactions
117 Replies
14K Views
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au...
4 Reactions
126 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…