Hivi wewe mwanamke uliyezaliwa na mwanamke mwenzio...Unayekubali mwanamme anamfanyia ukatili mwanamke mwenzako Kweli unategemea kuwa wewe akikuweka ndani atakuthamini !!?? Hakika huu ni ujinga...
Wana jamvi nilikua na girl friend nikiwa advance level secondary yeye akiwa O level kama mnavyo jua mapenzi ya kishuleshule zamani yalikua ya kweli sio kama watoto wa shule wa sasa hivi, basi mi...
Kuna binti mmoja nilimtongoza kanisumbua kwa mda kiasi, baadae akadai anaogopa kunikubalia sababu ananiogopa kwa kunihisi nna dushelele kubwa, anadai anajua maumbile ya mtu kwa kumwangalia tuu...
1. Upendo
2. wema
3. ukarimu
4. utu
5. huruma
Kupitia maneno hayo juu naomba tutafakari namna tunavyowatendea watu tunaowafaha na tusiowafahamu.Binafsi nimefikia hitimisho la kuamini kuwa...
Sisi Waisilamu tukisema : "fulani ni mke wangu" yaani fulani huyo nimemuoa ndio maana akawa mke wangu.
Lakini watu wengine wanasema : "mke wangu wa ndoa".
Hivyo si sahihi.
Kwani "mke" peke...
Najua wanandoa wengi wanashinda kwenye mitandao ikiwemo JFkuondoa msongo wa mawazo kwenye ndoa na sio kwamba wanatamani kuchat muda wote.
Nawapongeza waanzilishi wa JF,hawajui wanaliwaza wangapi...
Alikuwa akisafiri kwenye barabara kuu akiwa juu ya pikipiki yake. Alikuwa akiendesha kwa wastani wa kilimeta 65 kwa saa. Jambo lenyewe lilitokea ghafla sana. Aligeuka kutazama pembeni mwa barabara...
Wapendwa wana MMU,
Kwanza poleni na Majukumu yenu mazito ya kila siku, na pia Hongereni kwa kudumisha upendo hapa jukwaani. Mungu azidi kuwapa nguvu na kuzidi kupendana zaidi katika shida na raha...
Huwa najiuliza hivi huyu mwanamke aliyeshindwa na ndoa yake, Yaani ameshindwa kuwa mvumilivu ndani ya mahusiano yake anawezaje kushiriki kumfunda mwanamke mwenzake anayetarajiwa kuolewa?
Au...
Wajameni hii imekaaje mtu ana mke na anakua na kamchepuko bt hana wivu na mchepuko kabisa anamruhusu kuwa na mpenzi wake bt anataka amjue na awe mmoja tu.Je hapo kuna mapenzi kweli
Nimekuwa kwenye ndoa kwa takiriban miaka 5 sasa. kwa bahati mbaya nilimfahamu X wa mzazi mwezangu. kipindi fulani akawa na mawasiliano na huyu X wake yaani kupigiana simu. nikawa niliweza kumpiga...
Habari za jion na poleni na swaumu!kuna suala linaonekana la kawaida ila kiukweli lina utata na ugumu wake pia,jinsi gani ya kuishi na mke ndani wengi tunatumia tu mazoea na hatimae mahusiano...
Mpendwa.
2Unibusu kwa busu la kinywa chako,
kwa maana upendo wako unafurahisha
kuliko divai.
3Manukato yako yananukia vizuri,
jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa.
Ndiyo sababu wanawali...
Dah! Hii vita ni ngumu. Nimejitutumu kuianzisha nikijua silaha zangu chache ila nikawa mbishi. Nikafanikiwa kumpata mateka mmoja ambaye maadui hawaishi kutuvamia kutaka kumchukua. Wana silaha kali...
Kimsingi mapenzi ya siku hizi risk nyingi i.e kugombana, kunyimwa unyumba, kuachana muda wowote. ili kujiweka mbali na stress, matatizo kama haya yasikudhuru. MCHEPUKO NDIO solution, MICHEPUKO NI...
WAKU HABARI ZA SAHIZI.NAZANI WOTE MNAENDELEA VIZURI NA RAMADHANI KWA WALE WALIOFUNGA.WAKUU LEO MKUSHI KUNA JAMBO LINANITATIZA NIKAONA NI PATE USHAURI KIDOGO KUTOKA KWENU NIKICHANGANYA NA WAKWANGU...
Usiri ni kitu hatari sana ktk Mahusiano!
Usiri uliopitiliza ktk mahusiano ni sumu mbaya sana, huwa inasubiri siku na wakati tu, ili iweze kusambaa na kuuwa ikibidi. Kama una kitu moyoni, na...
Habarani marafiki wote
Nimeleta mada hii hapa tujadili kwa pamoja na sio kujoke
Kati ya Baba na Mama nani ni muanzilishi wa kumharibu mtoto
kimaadili na kumfanya mtoto awe mento na kudata...
Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.