Nitakupenda daima na wala sitokuacha sahau hilo

Nitakupenda daima na wala sitokuacha sahau hilo

angelita

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
3,017
Reaction score
2,446
Mimi huwa siwaelewagi hawa watu wanaoitwa ma Ex.

Unaweza kuachana na mtu na kila mtu akawa na maisha yake labda Kaoa/Kaolewa, ila kutwa kucha kakuganda utafikiri alizaliwa na wewe.

Mtu kama alikuwa anakupenda haimaanishi atakupenda milele, ama mlikuwa wapenzi basi mapenzi yataendelea hata mkiachana, upendo huisha.

Mtu anatoka huko atokako "oooh, wewe utabaki kuwa wangu tu milele, sikuachi sahau" na fujo kibao utafikiri mliandikiana mkataba wa maisha.

Ukiamua kuacha kitu kiache mazima sio unakiacha huku moyoni unakitaka bado. Hasa wanaume umemuacha mtu umeenda huko au umeoa yamekubumia unarudi kusumbua watu na ubabe juu, visa mtindo mmoja kuwakosesha raha watu muache iyo tabia mnakera sana.
 
Mimi huwa siwaelewagi hawa watu wanaoitwa ma Ex.

Unaweza kuachana na mtu na kila mtu akawa na maisha yake labda Kaoa/Kaolewa, ila kutwa kucha kakuganda utafikiri alizaliwa na wewe.

Mtu Kama alikuwa anakupenda haimaanishi atakupenda milele, ama mlikuwa wapenzi basi mapenzi yataendelea hata mkiachana, upendo huisha.

Mtu anatoka huko atokako "oooh, wewe utabaki kuwa wangu tu milele, sikuachi sahau" na fujo kibao utafikiri mliandikiana mkataba wa maisha.

Ukiamua kuacha kitu kiache mazima sio unakiacha huku moyoni unakitaka bado. Hasa Wanaume umemuacha mtu umeenda huko au umeoa yamekubumia unarudi kusumbua watu na ubabe juu, visa mtindo mmoja kuwakosesha raha watu muache iyo tabia mnakera sana.
Ni wanaume tuu... au na wanawake pia..?
 
..And Sometimes Someone Mean So Much To You,
Not Even d Truth Can Change Your Mind :|
 
1469366772548.jpg
 
Kosa kubwa kukubali kjikumbushia au kurudiana....lazima mwisho Wa Siku ulie
 
Mimi huwa siwaelewagi hawa watu wanaoitwa ma Ex.

Unaweza kuachana na mtu na kila mtu akawa na maisha yake labda Kaoa/Kaolewa, ila kutwa kucha kakuganda utafikiri alizaliwa na wewe.

Mtu Kama alikuwa anakupenda haimaanishi atakupenda milele, ama mlikuwa wapenzi basi mapenzi yataendelea hata mkiachana, upendo huisha.

Mtu anatoka huko atokako "oooh, wewe utabaki kuwa wangu tu milele, sikuachi sahau" na fujo kibao utafikiri mliandikiana mkataba wa maisha.

Ukiamua kuacha kitu kiache mazima sio unakiacha huku moyoni unakitaka bado. Hasa Wanaume umemuacha mtu umeenda huko au umeoa yamekubumia unarudi kusumbua watu na ubabe juu, visa mtindo mmoja kuwakosesha raha watu muache iyo tabia mnakera sana.
Ukiona hvyo wewe mliachana kwa sababu za kipumbavu halafu kimya kimya ukitaka msirudiane kipindi mnaachana piganeni mangumi chomeni moto mavitu yenu pasueni vioo vya ndinga zenu yani liwe bonge la varangati au kama yule aliyetumiwa Zawadi ya picha mavii hapo harudi mtu
 
Nawaitaga mazombie...mtu akishakufa na kuzikwa mawazoni but unakuta anaibuka tu...kama amefufuka...argiiiii O🙂
 
Nanukuu, "huwezi kuacha kumpenda mtu,NI MAWILI either utaendelea kumpenda au hukuwahi kumpenda"
 
Back
Top Bottom