Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210K
Threads
7.5K
Posts
210K

JF Prefixes:

Siku za karibuni kumetokea matuko ya picha za matukio ambayo yanaweza kusomeka kama kuwadhalilisha baadhi ya wabunge kimaadili na hata pengine kuleta taswira ya mwenendo ambao usingetazamiwa kwa...
0 Reactions
58 Replies
19K Views
Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa...
6 Reactions
193 Replies
16K Views
Kuna mama jirani hapa anamuomba sana dogo gemu tena si mara moja, bora angeniomba mimi kaniacha miaka 5. Mara kwa mara anamuomba asex nae na pale nyumbani kwake dogo ni amezoeleka kama home tu...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Jamani endeleeni kutucheka walimu kwamba tuna mishahara midogo, wengine wanatudharau kuwa sisi tulifeli ndio mana tukawa walimu lakini mnasahau kuwa huku kuna marupurupu matamu sana. Maana watoto...
4 Reactions
102 Replies
15K Views
Wana Mmu tujadili hili. Hivi kwa nini wakaka wakiwa na mademu wengi anasifiwa ni lijali na mdada akiwa na madanga I mean mabwana wengi anaitwa malay.?? Wakati jambo linalofanyika ni lile lile...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Dear!!. Mi natumaini tumeshaongea mengi kati yetu na sababu ya kutoka kutaka kuwa peke angu nshakwambia vizuri!!,usilie wala usiumie sana,sikatai unanipenda na nakupenda sana tu! kwa mda...
0 Reactions
141 Replies
8K Views
Hivi kipato kikubwa kinaweza kikaharibu mahusiano ya ndoa ambazo tunazo? Kwa maana ndoa nyingi zenye matatizo kwa jinsi nionavyo mie ni zile za watu wenye vipato hasa wenye umri kati ya 28-48...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
I don care kama yupo au hayupo....nimeshalia sana nina amani!# siwez kumrudia mie sio chizi ivo. Ur a good man...nice...u knows how to love and care!! Muelewa...sijawahi kukuona but i can say...
0 Reactions
122 Replies
10K Views
habarini wanammu,ninataka kujua kwa nini ndoa za kikristo haziruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja hali ya kuwa manabii na mitume walioandikwa kwenye biblia kama vile daudi na yakobo walikuwa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nilikuwa na demu tukiishi mkoa fulani bhana, sasa akapata kakazi fulani Dar kumbe alipofika huko akapata mchepuko mwingine na kuanza kuzuga yaani baby nimekumiss mara yaani utanikuta kama...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa waliofunga tumeshafuturu,basi si haba nataraji wote mko buheri wa afya. Back to the topic,why? Kuna jamaa kahamia mtaani mambo yake saafi,wagogo wanasema mswano, na usafiri wake rav 4 dah...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenyu bana.... "Gladdy najua unanipenda and of course na mimi nakupenda pia sana tu kama nitakosea naomba unisamehe... you are the woman na zaidi ya hayo una malengo yako hata kama...
6 Reactions
191 Replies
12K Views
Hongereni kwa mfungo na habari zenu wadau. Jamani nimekua mhanga kwa hii kitu kwa mda mrefu , naomba niweke wazi kua nilikua mfuasi sana wa hii kitu , kununa nuna bila sababu ya msingi, kosa...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Wana jf, leo kuna vitu muhimu vya kumfanya mwanaume atulie na asiwe na kushotokulia. Wanawake watambue kuwa mwanaume nae anapenda kubembelezwa, kusifiwa hata kama sura imelega, kuheshimiwa, kupewa...
2 Reactions
60 Replies
9K Views
Heshma kwenu. Hivi mwanaume umekaa bar na mpenzi wako unakata kiroba nae anapga sodabanakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumba wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Duniani kuna mambo... The man was then taken to hospital in south London where his condition is stable. It is understood surgeons were unable to reattach his penis. Habari kamili hii hapa BBC...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Simu za tachi skrini noma! Hizi simu za tachi skrini zinavyosumbua ni balaa tupu. Mdada kanunua akawa anashindwa kutuma meseji kwa bebi wake: Mdada: Bebw mambwo? Jamaa: Poa nambie. Mdada: Vipww...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
wanajamvi. Naomben ushaur wenu kuhusu mpenz wangu, nina mahusiano nae tangu mwez wa 6 mwanzon sasa tunakwazana kila wkt kwasabu ya muda wa kuspend nae, na hatak tuongozane barabaran nkimsindikiza...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mke wako hana kipato kikubwa kukuzidi mfano kama anaingiza elfu 1 basi mwanaume uingize elfu 2 kwa kufanya hivyo mwanamke lazima akuheshimu tena hakikisha unampa uhuru wa kutumia pesa yake bila...
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Back
Top Bottom