Siku za karibuni kumetokea matuko ya picha za matukio ambayo yanaweza kusomeka kama kuwadhalilisha baadhi ya wabunge kimaadili na hata pengine kuleta taswira ya mwenendo ambao usingetazamiwa kwa...
Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa...
Kuna mama jirani hapa anamuomba sana dogo gemu tena si mara moja, bora angeniomba mimi kaniacha miaka 5. Mara kwa mara anamuomba asex nae na pale nyumbani kwake dogo ni amezoeleka kama home tu...
Jamani endeleeni kutucheka walimu kwamba tuna mishahara midogo, wengine wanatudharau kuwa sisi tulifeli ndio mana tukawa walimu lakini mnasahau kuwa huku kuna marupurupu matamu sana.
Maana watoto...
Wana Mmu tujadili hili.
Hivi kwa nini wakaka wakiwa na mademu wengi anasifiwa ni lijali na mdada akiwa na madanga I mean mabwana wengi anaitwa malay.??
Wakati jambo linalofanyika ni lile lile...
Dear!!.
Mi natumaini tumeshaongea mengi kati yetu na sababu ya kutoka kutaka kuwa peke angu nshakwambia vizuri!!,usilie wala usiumie sana,sikatai unanipenda na nakupenda sana tu! kwa mda...
Hivi kipato kikubwa kinaweza kikaharibu mahusiano ya ndoa ambazo tunazo?
Kwa maana ndoa nyingi zenye matatizo kwa jinsi nionavyo mie ni zile za watu wenye vipato hasa wenye umri kati ya 28-48...
I don care kama yupo au hayupo....nimeshalia sana nina amani!# siwez kumrudia mie sio chizi ivo.
Ur a good man...nice...u knows how to love and care!! Muelewa...sijawahi kukuona but i can say...
habarini wanammu,ninataka kujua kwa nini ndoa za kikristo haziruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja hali ya kuwa manabii na mitume walioandikwa kwenye biblia kama vile daudi na yakobo walikuwa...
Nilikuwa na demu tukiishi mkoa fulani bhana, sasa akapata kakazi fulani Dar kumbe alipofika huko akapata mchepuko mwingine na kuanza kuzuga yaani baby nimekumiss mara yaani utanikuta kama...
Kwa waliofunga tumeshafuturu,basi si haba nataraji wote mko buheri wa afya.
Back to the topic,why?
Kuna jamaa kahamia mtaani mambo yake saafi,wagogo wanasema mswano, na usafiri wake rav 4 dah...
Habari zenyu bana....
"Gladdy najua unanipenda and of course na mimi nakupenda pia sana tu kama nitakosea naomba unisamehe... you are the woman na zaidi ya hayo una malengo yako hata kama...
Hongereni kwa mfungo na habari zenu wadau.
Jamani nimekua mhanga kwa hii kitu kwa mda mrefu , naomba niweke wazi kua nilikua mfuasi sana wa hii kitu , kununa nuna bila sababu ya msingi, kosa...
Wana jf, leo kuna vitu muhimu vya kumfanya mwanaume atulie na asiwe na kushotokulia. Wanawake watambue kuwa mwanaume nae anapenda kubembelezwa, kusifiwa hata kama sura imelega, kuheshimiwa, kupewa...
Heshma kwenu.
Hivi mwanaume umekaa bar na mpenzi wako unakata kiroba nae anapga sodabanakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumba wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka...
Duniani kuna mambo...
The man was then taken to hospital in south London where his condition is stable. It is understood surgeons were unable to reattach his penis.
Habari kamili hii hapa
BBC...
wanajamvi. Naomben ushaur wenu kuhusu mpenz wangu, nina mahusiano nae tangu mwez wa 6 mwanzon sasa tunakwazana kila wkt kwasabu ya muda wa kuspend nae, na hatak tuongozane barabaran nkimsindikiza...
Mke wako hana kipato kikubwa kukuzidi mfano kama anaingiza elfu 1 basi mwanaume uingize elfu 2 kwa kufanya hivyo mwanamke lazima akuheshimu tena hakikisha unampa uhuru wa kutumia pesa yake bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.