Salamu Sana.
Kwa wale wenzangu wenye kasumba Kama mimi ambao unamtongoza demu halafu anakuletea nyodo (anakaku zoom kuanzia chini mpaka juu) halafu anakusonya fyuuuuuu!!
Mara nyingi huwa kuna...
Ukweli ni kwamba katika mahusiano sisi wanaume ndio tunaplay part kubwa. Mwanaume unapambana unampa mwanamke kila kitu anachohitaji from A-Z halafu anakusaliti, hapo lazima uumie sana.
_Mwanamke...
Habarini za mchana wakuu, sikuhizi biashara ya ukahaba inafanyika sana kwenye mtandao, binafsi niliwahi chat na msichana DM huko instagram mara ghafla akaniuliza unahela?? ni kamwambia ya nn...
Leo, nimekumbuka mbali kweli enzi hizo tunasoma kulikuwa na demu balaa class yaani kila paper ana A,achana na Huyo demu bwana kulikuwa na jamaa yangu Hugo alikuwa moto yaani in balaa kila paper...
Leo, nimekumbuka mbali kweli enzi hizo tunasoma kulikuwa na demu balaa class yaani kila paper ana A,achana na Huyo demu bwana kulikuwa na jamaa yangu Hugo alikuwa moto yaani in balaa kila paper...
Leo nilikua maeneo ya sinza nikijipongeza na moja moto moja baridi baada ya kumaliza majukumu yangu ya kila siku.. baada ya kinywaji kunikolea nikaona isiwe tabu acha nipate burudani ya penzi...
Wakuu,
Ipo wazi kuwa, wakati wa kupenzika, mwanamke akitoa zile sauti za kimahaba hata kama ana fake, zinaongeza sana mzukaa kwa mwanaume na kumfanya afurahie sana tendo na hata kumwaga mapema...
Aisee nimesikitishwa sana na suala la Kamanda wetu kukiri kuwa alikuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la kigaidi alafu Akazitunza tu kama mayai[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Marekani...
Naweza kuvumilia sana tena sana lakini mwanamke mchafu,mchoyo,mchawi,Malaya,kiburi kamwe siwezi kuvumilia milele!
Tuanze na mwanamke mchafu!
Uchafu nao uzungumzia unaweza ukakuta mwanamke ni...
Katika busara na upuuzi wangu, leo nimekuletea vitu vya kuzingatia katika mahusiana au ndoa yako. Mimi bado nipo single so kama nimekosea unaweza kunirekebisha [emoji23]
Kila mwanadamu utakae...
Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia...
Nilienda kumtembelea mama mchungaji wetu maana mchungaji hayupo yuko kwenye mkutano mkoa mwingine huko, ile nafika tu nae ndo anatoka.... namuuliza mama wapi tena nimekuja kukusalimu wewe...
Habari za mida bandungu?
Kumeibuka tabia ya wanaume kutuchambua kama karanga (sisi wanawake) unasikia kabisa jamaa linasema "yaani nioe mwanamke anafanya kazi bar" sasa unadhani kuna tofauti ya...
Wana mmu nimpende nani humu???
Mzigua90 maa mwenye ma iq yake makubwa
Shunie mrembo mwenye mbwembwe zake
Sakayo mwenye maringo yake
joanah mwenye majibu yake
cute b mwenye misemo yake
ledada...
Wasalaam, wakuu bila shaka mko poa j5 hii, moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu.
Jana nimepata simu mpya kupokea sauti ya KE akajitambulisha, ilinichukua sekunde kadhaa kumkumbuka
Oooh...
Yaani Mimi nikiwa na Msichana kwenye mahusiano, inapofikia kwenye suala la mawasiliano let's say kuchat huwaga Ni mzito Sana yaani hadi manzi aanze kunitafuta mwenyewe na mimi ndiyo na respond...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.