Siamini macho yangu jinsi nilivyofanikiwa!

Siamini macho yangu jinsi nilivyofanikiwa!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
 
Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Hongera
 
Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Ulikua na mpango wa kukaa mwaka bila kugegeda yaan nusu mwaka tu ushavuruga mipango..et unatest mitambo [emoji23][emoji23]
 
Nakwambia hiviiii huyo ulomtestia mitambo tayari ana Ujauzito wako...ushamjaza ki ufupi sasa nakwambia tena si ulijipa kukaa mwaka...yanakuja majukumu ya kulea utamaliza Miaka hujagegeda.

Ushauri wangu kabla hujaletewa taarifa za ujauzto malizia hiki kipnd gegeda gegeda maana kinakuja kipindi ambacho hutopata hamu ya kutest mitambo..
 
Nilikuwa na mchakato wa kukaa mwaka mzima bila kugegeda kwa malengo yangu binafsi,tayari nimeshakamilisha miezi sita!,na Jana nimetest mitambo kama ipo fresh na Demu mmoja sasa naendelea kumalizia miezi sita iliyobaki!
Faida kubwa niliyopata ni kwamba pesa inakaa sasa kwenye wallet vizuri na mambo mengine yakiendelea mubashara!
Wanaume tukiamua tunaweza
Dah...Sasa unatafuta hela ya Nini?,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom