Sensor Chief
New Member
- Jun 19, 2019
- 4
- 1
Leo, nimekumbuka mbali kweli enzi hizo tunasoma kulikuwa na demu balaa class yaani kila paper ana A,achana na Huyo demu bwana kulikuwa na jamaa yangu Hugo alikuwa moto yaani in balaa kila paper yeye in A tu... Mimi binafsi sikuwa moto sana lakini niliwakimbiza wasela kipindi Fulani hivi.
We we unamkumbuka kichwa darasani kwenu au kulikuwa wewe.0va
We we unamkumbuka kichwa darasani kwenu au kulikuwa wewe.0va