rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,972
Aisee nimesikitishwa sana na suala la Kamanda wetu kukiri kuwa alikuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la kigaidi alafu Akazitunza tu kama mayai[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Marekani washukuriwe sana nilidhani ni mabeberu kumbe wameamua kufanya jambo sahihi kwa wakati sahihi...!!