rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,496
- 41,919
Aisee nimesikitishwa sana na suala la Kamanda wetu kukiri kuwa alikuwa na taarifa mapema kuhusu shambulio la kigaidi alafu Akazitunza tu kama mayai Marekani washukuriwe sana nilidhani ni mabeberu kumbe wameamua kufanya jambo sahihi kwa wakati sahihi...!!