Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Dunia inabadilika na uhalisia wa mambo unabadilika Leo hii ningepewa fursa ya kupendekeza maana mpya ya upendo ningesema upendo ni pesa kwa sababu zifuatazo. 1. Upendo ni hali ya kujali na...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani kiukweli nina hamu na kuangalia haya mashindano japo liking'amuzi nalotumia inaonekana hawaonyeshi... Rasmi mwaka huu nmeamua kutupa na kuacha kabisa kutumia hiki ki STARTIMES Yaani...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyumbani tuna paka jike. Kwa vile tuna watoto wadogo na wanapenda kumchezea tukaona isiwe mbaya tumgharamie kumpeleka vet clinic kwa check up,kumkata kucha ,madawa etc Tatizo ni kwamba anashiriki...
3 Reactions
132 Replies
9K Views
Polen kwa majukumu wakuu,kama kichwa kinanavojieleza hapo juu,ningetaka kujua,iv inakuaje x wako anakua anakusumbua sanaa na txt pamoja na calls nyingi tu huku keshamua kukuacha na kwenda kwa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nilishalia sana kwa mrembo flani kipindi hicho, Nilishaomba sana samahani kwa makosa ambayo ata sikuwa nimefanya mie, Kuanzia mapenzi yanipe Funzo nimegundua kitu kimoja neno Samahani kwenye...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
Anaekupenda humpendi unaempenda hakupendi sasa shida tupu unaemfukuzia humkuti nae anaekuzia hakukuti huwiii ni shida hatareee yaan
2 Reactions
4 Replies
948 Views
Njia rahisi ya kuachana na mpenzi wako,ni ku-save namba yake ya simu kwa jina la machukizo mfano:-mweu,chizi,bogus,taahira n.k Siku atakapojiona tu,ataanzisha fujo na ndio itakuwa chanzo cha...
6 Reactions
39 Replies
4K Views
Bila kupoteza muda mimi nimekuwa sipendi na nawachukia mademu wafupi kama nyundo aka mbuti from ituri forests! Kwanza hata ukitembea naye barabarani haileti mvuto kabisa hata kumpiga kiss lazima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ok,wakuu,..weekend yangu imeanza leo,. to the point Mim bwana nmepitia meng kwenye mahusiano,nshapenda saana had kua chiz,..namii nkipenda nmependa kwel naweza penda mwanamke ile kupitiliza ,yan...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Hii ishawahi nitokea wakuu , ilikuwa noma sana,we acha tu mapenzi HAYAELEWI .ilikuja kuwa badae sana nilipomalizaO-level.Ndo nkajua mapenzi hayaelewi na ni balaa ikija kichwakichwa.OVA Wakuu
0 Reactions
65 Replies
5K Views
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Soma ujumbe wa madenge wewe mwanamke unae pigwagwa buruturu.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Niend direct kweny maada Kuna binti nmetokea kumpenda sana nmeanz nae mahusiano mwaka jana tumekua tukiendlea vzur san lakin siku ya jana cjamuelew kabsa aliniaga anaenda kukutana na kaka ake...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
ikitokea mwanaume ulikuwa na demu wako unaye mpenda kwa dhati kabisa ghafla tu anakuambia kuwa kuanzia leo mimi na wewe basi kila mtu afanye mambo yake ,hakuna tena cha mahusiano wala mapenzi je...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Salam kwenu wakuu. Wanawake bana nashindwa kabisa kuwaelewa. Hivi inawezekana Mwanamke akatoka home kuelekea katika mihangaiko yake bila kuvaa hata PICHU?🙄🙄🙄 Leo Asubuhi wakati naelekea katika...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Mchezaji wa kenya amezaliwa Januari 31, 1992,je unaweza kuamini ana miaka 27?unahisi ni kitu gani kimemkuza hivi?
1 Reactions
101 Replies
10K Views
Mwanamke ni sawa sawa na gari,kuna ist,ford ranger,explorer,landcruiser n.k pia wapo wenye cc 1000, 2500 n.k Mi napenda ford explorer,landcruiser n.k yaani wale waliojazia wanaoanzia cc 4600.Je...
1 Reactions
69 Replies
5K Views
Niaje Maninja na masista Duu wa JF.Najua mko Gud, Ok mzuka mwingi. Twende kwenye Topic wazazi Kwa jinsi Dunia inavo Rotate kwa kasi ya kimbunga Kenethi Na watu waliomo ndani yake basi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Maisha ya ndoa raha sana hasa pale mnapokuwa mnatafuta watoto;akiwa jikoni unampa kitu,bafuni unampa kitu,chumbani unampa kitu,sebuleni unampa kitu,kama uko kwenye uzio pia unampa kitu,akiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
"Baby naomba usiniache sawa"
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom