Hivi kwa binti unayempenda, yani unamalengo nae. Ikitokea amekuomba pesa. Ukamjibu ' sina '. Kisha akakata mawasiliano gafla. Jeh unahaja ya kuendelea kuwa na malengo nae..??
Kuna ndugu yangu...
Eti wakuu, huu msemo Uko sawa kweli ?
"Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo"
Swali ni je kila tatizo linaweza kutatuliwa bila kulikimbia ?????
Assume mtu anae tembea (analala) na wake/waume za...
Hello, Naitwa Sandra, Nipo New York, nampenda mume wangu Sana, naweza kufanya chochote ili nimridhishe na kumfurahisha.. Lakini hivi karibuni, nimetokea kumpenda binamu wa mume wangu.. Tena...
Oohhoooooo!
One more time!
Mic check one two!
Itz me agaaaain!..
Wananiita comrade a.k.a NANGABOY! A.k.a CHUMA!
Warembo wanapenda kuniita DR.LOVE
Kwa moyo mkunjufu, uadilifu na uaminifu...
Wewe iko siku utakuja sena yote saivi utajiona kidume ila hutomaliza huu mwaka bila kusema ukweli .
Saivi jione unakidhibitisho ila kwa baadae utasema yote.
Hello Jf ?
Muda mwingi nilijikuta nikilia sana kwa ajili ya ex wangu ambaye tumedumu kwa miaka zaidi ya mitatu.
Nilishindwa kumove on kwa muda mrefu. Nikijiuliza naanzia wapi ? Huyu...
Kifupi na katoto kamoja nilikapata enzi za kujaribu jaribu, mamake yuko vizuri kiuchumi anaishi nae kwakuwa bado kadogo, ila kuna muda nitamchukua niishi nae
Sasa imefika muda wa kuoa serious ila...
Habari wana jamvi..! natumai muwazima wa afya..
Naomba kushare na nyie hii hali ili nipate ushauri kama ninamatatizo au ni hali ya kawaida,
Watu wengi wanalalamika kua washawahi...
Nipo kwenye mahusiano mapya tatizo huyu mpenzi wangu ana kibamia yani tukifanya leo hata magoli 100 kesho tena na hamu yani hata sielewi nabaki kumkumbuka yule X naombeni ushauri jamani sielewi
Niende moja kwa moja kwenye mada niliwahi sikia kuna baadhi ya wanawake ukishakua nao kwenye mahusiano mambo yako yanaanza kutoenda sawa na kama unabiashara inaanza kushuka
Wakati mwingine hata...
Kiukweli kabisa huwa sina mudi na mademu weupe ata kidogo, lakini kila ninapojaribu kuwatongoza huwa hawachomoi alafu nikiwa nao kwenye mahusiano wananiganda sana,
Sijui kwa nini nikimuona demu...
Sio wote.
Wengi wao wanajiona wazuri kama nini wakati kiukweli wengi wao hamna kitu ni hicho kirangi cha weupe ndo kinawabeba.
Mnajua mnaboa nyie watu!?
Wakuu nimetembea leo umbali mrefu katikati ya jiji huku nikitathmini vifua vya mabinti umri wa usichana. Nashangaa kugundua hakuna tena mwenye '' chuchu saa sita'' kama enzi za mwalimu.
Yaani...
Naamini wana JF sote tunapendana, kwa maana ni jamii moja ya jf hivyo ni sawa na ndugu,jamaa au marafiki, napenda kuwajulia hali."habari zetu wakuu tupendanao?
Wakuu, naomba msaada kufahamu jinsi ya kukisaidia kizazi cha leo kinachodai uasherati imekuwa ni sehemu ya maisha kwa sababu mbalimbali.
Nimehudhuria semina ya vijana na hofu yao kuu kwa mabinti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.