my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
... Unilinde na mimi nikulinde hadi kufa... 💖💖
Ni kitendawili tutegue...?!
Naomba hyo mada ya mtoa mada ni pasye hapa kwako
Heee mbona unamwita huyo mrembo tena?
Nimemwita aje ashuhudie ubazazi wako.Heee mbona unamwita huyo mrembo tena?
Mwache apumzike kidogo
Kwani mada ya mtoa mada inasema je?Nimemwita aje ashuhudie ubazazi wako.
Kwani mada ya mtoa mada inasema je?
Ujue sikuisoma
Kuna jamaa kaja hapa jamvini, akasema kwajinsi alivyo umizwa.... Sasa ameamua kwamba hamuachii tena Mungu, na tayari anazo pichu/kaptula ndogo za aliye muacha anazipeleka kwa fundi... Unilinde na mimi nikulinde hadi kufa...
Kuna jamaa kaja hapa jamvini, akasema kwajinsi alivyo umizwa.... Sasa ameamua kwamba hamuachii tena Mungu, na tayari anazo pichu/kaptula ndogo za aliye muacha anazipeleka kwa fundi
.......watahofia kuacha picchu zao lakini mambo ya kishirikina hayahusu kitu.