Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo!!!

Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo!!!

BioPsychologist

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
724
Reaction score
1,019
Eti wakuu, huu msemo Uko sawa kweli ?

"Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo"

Swali ni je kila tatizo linaweza kutatuliwa bila kulikimbia ?????

Assume mtu anae tembea (analala) na wake/waume za watu mlevi, kahaba, mwizi n.k hawa huu msemo bila shaka hauwafai.

Au wajuvi wa mambo mnaweza ongezea usahihi wa neno hili na litumike kwenye matatizo ya namna gani ?

Nawasilisha.
 
Nimerekebisha rudia utaelewa mkuu.
Ata nikisoma comments naona mada haijadiliwi... Na kuna mtu kasema mada ni ya kugegedana alafu wewe ukakataaa

Kuna mwingine pia naona hajaelewa

Pole wewe ambae hujui kujieleza
 
Back
Top Bottom