Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mara nyingi utawasikia wanawake wakilalamika kwamba,wanaume wakishawatumia na kuwachoka wanaachwa,ikiwa kile kitendo ni raha kwa wote wawili kwanini mmoja aseme anatumika? Mmekuwa marafiki kwa...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Wakuu nimenasa kwa huyu mrembo Yan kavaa mishanga kibunda afu ana ngezi Kama zote, yaani kwa mahaba nami nikavaa shanga moja Ili twende sawa afu shanga yenyewe ina kengele ,yaani miuno feni...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Mtoto akifika umri wa miaka mitano michezo uongezeka, apa mtoto ujaribu kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja, utokomea nyumbani Na asionekane adi jioni , awezi kujali mda wa Kula yeye Na michezo...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Apart from Sex,what can a woman offer in a love relationship?By Trevor Noah!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wewe ni senior bachelor niliyebahatika kukupenda. Mpenzi Rrondo tusipoteze muda njoo tuyajenge. Maisha ni mafupi na kulea mtoto ni mpaka agile angalau 25 amemaliza degree ya kwanza ndiyo...
9 Reactions
198 Replies
11K Views
Ni rahisi sana kupata visa ya kwenda Canada kuliko kumpata wife material! Kwa wale waliowahi kuomba visa za Canada wanajua ugumu wake! Kitu kinachosikitisha hasa ni kwamba hata kanisani...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Ni hivi wandugu Kuna jamaa wetu hapa amejikiuta kwenye matatizo makubwa kifamilia. Chanzo ni kwamba amempenda mdogo wa mke wa kakayake (kitamaduni zetu ni shemeji yake) huyu binti...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Mwanaume yeyote anae mla mkeo makinikia/tigo Ni shoga ijulikane kwanzia Leo.. nimemaliza
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tunajua kuwa kuna michuano mikali inaendelea kule misri ya kombe la Afrika Lakini unaweza ukakuta mwanaume huwa hana interested na mpira, maana ukimchunguza mechi za jioni huwa haendi,ukiangalia...
9 Reactions
34 Replies
5K Views
===UPDATES== Yametimia...lakini haikuwa rahisi sababu alisema hanywi pombe halafu ana mitihani kuanzia tarehe 8 Julai hivyo hantokaa sana anakwenda kujisomea.....nikambembeleza sana akakubali...
6 Reactions
96 Replies
12K Views
Poleni Kwa mfungo ndugu zangu waislamu huku wakristo mkiendelea kula mema ya nchi mchana kweupe!!!!!! Usiku wa Leo nimetoka kumfukuza classmate wangu wa kike akalale kibarazani kwakuwa mimi ndio...
16 Reactions
95 Replies
9K Views
Upendo ni Udhihirisho wa Thamani ya kile kinachopendwa.Mathalani,Unaposema unampenda mtu basi utadhihirisha waziwazi kwa kuonesha huyo mtu ni wa thamani kiasi gani kwako. Hata hivyo kuna "Upendo...
5 Reactions
58 Replies
12K Views
[emoji252] ..Kwa Maneno Haya Lazima Akusamehe.. [emoji420]..Usiniache kwenye Dunia ya maumivu,usiniache kwenye mvua ya sononeko, njoo unirudishie tabasamu kwenye maisha yangu. Njoo unibusu na...
1 Reactions
72 Replies
182K Views
jamaa yangu leo npo nae maeneo flani hapa town tunapga story et ananiambia wanawake wenye chunusi wana ladha na joto sana kuliko wanawake wengne eti nikweli? au anajiwekea difence mechanism mana...
2 Reactions
150 Replies
10K Views
Kama kichwa kinavyojieleza. Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa, yupo chuo anamaliza mwaka huu wa tatu. Kiukweli nampenda sana na sitarajii kuwa na mwanamke mwingine. Lakini hivi...
2 Reactions
56 Replies
10K Views
Hbr wakuu, Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku...
1 Reactions
73 Replies
8K Views
Naandika Uzi huu nikiwa na huzuni na hasira sana moyoni Ingawa siamini masuala ya nguvu za giza, ila haya maneno neno ninayoyasikia yananitia hasira sana Na nikikumbuka mazingira ya nyuma ya...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu! Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni. Niseme kweli kwasisi...
8 Reactions
91 Replies
12K Views
Sasa hivi ni kama mwezi wa tisa mke wangu hana hamu na mimi kabisa. Tunaweza kaa hata week mbili hataki kusex hadi atake yeye na hapo ndio huwa simuelewi maana huwa namfikisha vizuri tatizo...
11 Reactions
209 Replies
30K Views
Back
Top Bottom