Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 363
Hello Jf ?
Muda mwingi nilijikuta nikilia sana kwa ajili ya ex wangu ambaye tumedumu kwa miaka zaidi ya mitatu.
Nilishindwa kumove on kwa muda mrefu. Nikijiuliza naanzia wapi ? Huyu ninayekutana naye atakuaje ? Nk.
Lakini Mungu ni mwema sana. From no where niliacha kumtext my ex kuomba misamaha ya kijinga.
Baada ya mateso na dharau zake za muda mrefu, akipata shida anitafute nikimsaidia aniblock, moyo wangu umegeuka kwa kijana mstaarabu na anayeonyesha kunipenda na kunithamini sana. Ananisikiliza na kunipa attention sana.
I am so happy wanafamilia wenzangu. Ex wangu ameniomba msamaha lakini nimemjibu ninachotaka ni yeye awe mbali na mimi. Mama yake alikuja kuongea nami juu ya kusamehe. Sitaki kurudi nyuma.
Wanawake na wasichana wenzangu mnaopitia maisha ya kunyanyasika kwa wanaume mkiogopa kuachika, let it go. Usikubali kuteseka kwa ajili ya huyo mtu. Kama ni wakwako na umepangiwa kuwa naye itakuja yenyewe automatically. Do not waste your energy kumganda mtu ambaye anaweza kufa kesho.
Be happy. Tengeneza furaha yako. Jipende. Mwenzenu nilianza kuzeeka kisa ex. Kulia, kutokula vizuri nk. But now nimerudi kuwa kijana. Kwa kuwa sitegemei furaha yangu toka kwa mtu.
Ingawa nampenda my new bae but akipenda kuondoka, l will let it go.
Thank you very much.
Muda mwingi nilijikuta nikilia sana kwa ajili ya ex wangu ambaye tumedumu kwa miaka zaidi ya mitatu.
Nilishindwa kumove on kwa muda mrefu. Nikijiuliza naanzia wapi ? Huyu ninayekutana naye atakuaje ? Nk.
Lakini Mungu ni mwema sana. From no where niliacha kumtext my ex kuomba misamaha ya kijinga.
Baada ya mateso na dharau zake za muda mrefu, akipata shida anitafute nikimsaidia aniblock, moyo wangu umegeuka kwa kijana mstaarabu na anayeonyesha kunipenda na kunithamini sana. Ananisikiliza na kunipa attention sana.
I am so happy wanafamilia wenzangu. Ex wangu ameniomba msamaha lakini nimemjibu ninachotaka ni yeye awe mbali na mimi. Mama yake alikuja kuongea nami juu ya kusamehe. Sitaki kurudi nyuma.
Wanawake na wasichana wenzangu mnaopitia maisha ya kunyanyasika kwa wanaume mkiogopa kuachika, let it go. Usikubali kuteseka kwa ajili ya huyo mtu. Kama ni wakwako na umepangiwa kuwa naye itakuja yenyewe automatically. Do not waste your energy kumganda mtu ambaye anaweza kufa kesho.
Be happy. Tengeneza furaha yako. Jipende. Mwenzenu nilianza kuzeeka kisa ex. Kulia, kutokula vizuri nk. But now nimerudi kuwa kijana. Kwa kuwa sitegemei furaha yangu toka kwa mtu.
Ingawa nampenda my new bae but akipenda kuondoka, l will let it go.
Thank you very much.