Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

tulikuwa tumesafiri kikazi nchini flani mwaka jana kwa training ya mwezi mmoja. mwezi ni muda mrefu sana kwa binadamu. mimi bahati nzuri kampuni yangu sababu ni ya kimataifa walinifikishia hotel...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dah siku hizi maisha yamekuwa maisha yaani unaweza usipate hata mwanamke wa kumtia mimba akuzalie mtoto.yaani wanawake wanacheza kwa step sana.wanawake wamejitambua kiasi Cha kufikia wanaozaa...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
The art of orgasm
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Ukienda kumtembelea dada yako aliyeolewa katika maongezi akakuonyesha makovu na akasema shemeji yako huwa ananipiga.Nashindwa kuachana naye sababu ya watoto" Utafanyaje??
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 70 katika jiji la Kansas nchini Marekani aliyepora bank kwa makusudi ili afungwe na kukaa mbali na mkewe, amepatikana na hatia na kuhukumiwa kukaa nyumbani miezi 6...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kiume kwaajili ya kubadilishana mawazo.. Am not single Napenda awe rafiki ambae anaexperience na maisha hasa utafutaji pesa na Mahusiano.
15 Reactions
63 Replies
18K Views
Natafuta mpenzi alie serious tuanzishe mahusiano, umri 21-25 (KE) ALIE TAYARI KARIBU PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf Kuna huu utafiti uliofanywa na wataalam ikiwa ni katka kujua sababu ya tatizo linalozidi kukua kla sku la upungufu wa nguvu za kiume mambo ni mengi yanayoweza kusababisha shida hiyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari....Ikumbukwe nilikuja hapa nikilalamika kuachwa na wengi walinishauli mengi ,wengine wakisema nikae kimya , wengine wakisema mashauli mengi kimsingi, and nilichagua kuwa kimya . Naomba...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Nimekuwa najikuta nawapenda madem wa rafik yangu mmoja. Nikiwatongoza huwa hawakai and I have dated most of them. Tabia yangu hii mbaya naona inataka kukomaa naombeni ushaur jaman nifanyaje ili ikome?
0 Reactions
5 Replies
705 Views
Mrembo mmoja nchini Zambia amemwambia mumewe kuwa,yupo tayari kuachana nae kama hatafuta shauri mahakamni kuhusu nabii ambaye mumewe amempeleka mahakani kwa kosa la kupapasa maziwa ya mkewe pamoja...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
King of the jungle! The one and only! Kipepe comrade nipo hapa tena Leo mbele ya upeo wa macho yako! Ebanaaae wanawake wenye matege ni noma, wanasifiwa sana huku mtaani.. Yani utamu wao...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Ee bwana ee, inakuadje wadau, katika ulimwengu wa sasa watu wamekuwa wakidhani pesa ndo silaha tosha katika mahusiano, swali linakuja je? Kama mfuko hausomi itakuwaje? Usiwe na wasiwasi suluhisho...
8 Reactions
174 Replies
16K Views
Kilichonileta humu ni kutoa langu la moyoni kwa yeyote ambae nafsi yake itaguswa na hitaji langu. Natumaini ninayo haki kikatiba, kidini na kijamii kuchagua aina ya mwenza ambaye nafsi na moyo...
12 Reactions
125 Replies
11K Views
Tukiwa kwenye maandalizi ya msimu huu wa sikukuu za Noeli na mwaka mpya. Ningependa kumpata binti/mwanamke mmoja aliyeumizwa sana na mapenzi kiasi cha kuyakatia tamaa. Nami nitamuonesha kwamba...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Mama mmoja alitupigia simu toka UYUI akitoa taarifa juu ya binti yake (Nancy (13), sio jina lake halisi) ambaye baba yake alitaka aolewe ingawa alikuwa amefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya shule...
1 Reactions
0 Replies
970 Views
Ongezeko la baadhi ya Wanaume wa Dar es Salaam kupenda kula Chips Mayai zaidi kuliko vyakula vingine tatizo ni nini?
2 Reactions
25 Replies
48K Views
Hbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za siku wana JF wote, Kama kichwa cha mada kinavosema, Niende moja kwa moja kwenye mada husika, kuna baadhi ya wanawake huwa wako tofauti sana yaani yeye kila siku umuombe wewe utamu...
3 Reactions
113 Replies
28K Views
Kamwe usiruhusu vitu au watu kukuumiza moyo wako kila muda. Maisha ni mafupi mno kuwa na huzuni kila mara. Kila siku mpya inayokuja ni zawadi kutoka kwa Mungu. Hivyo basi, ishi huku ukifurahia...
13 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom