usy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 209
- 162
Habari wana jamvi..! natumai muwazima wa afya..
Naomba kushare na nyie hii hali ili nipate ushauri kama ninamatatizo au ni hali ya kawaida,
Watu wengi wanalalamika kua washawahi kuteswa/wanateswa na mapenzi ( kufikia hata hatua ya kuchukua maamuzi magumu, kujiua n.k) lakini mimi hii hali haijawi kunipata hata siku moja ( japo nimepita katika relationship kadhaa).
sijawahi kulia wala kuhudhunika au kuumia kwa namna yoyote ile katika mapenzi hata inapotokea nimeachana na mtu ambayo nilikua nampenda zaidi, yaani kiufipi maumivu ya mapenzi siyajui kabisa..
Napata wasiwasi kwamba baadae nikioa hii hali haitakua na madhara kwangu na kunifanya nipuuzie hata vitu vya kijinga atakavyofanya mke wangu kisa tuu siumii??
naombeni ushauri nini nifanye/ au kama watu wengine wanakua na hali kama tangu??
Naomba kushare na nyie hii hali ili nipate ushauri kama ninamatatizo au ni hali ya kawaida,
Watu wengi wanalalamika kua washawahi kuteswa/wanateswa na mapenzi ( kufikia hata hatua ya kuchukua maamuzi magumu, kujiua n.k) lakini mimi hii hali haijawi kunipata hata siku moja ( japo nimepita katika relationship kadhaa).
sijawahi kulia wala kuhudhunika au kuumia kwa namna yoyote ile katika mapenzi hata inapotokea nimeachana na mtu ambayo nilikua nampenda zaidi, yaani kiufipi maumivu ya mapenzi siyajui kabisa..
Napata wasiwasi kwamba baadae nikioa hii hali haitakua na madhara kwangu na kunifanya nipuuzie hata vitu vya kijinga atakavyofanya mke wangu kisa tuu siumii??
naombeni ushauri nini nifanye/ au kama watu wengine wanakua na hali kama tangu??