Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

Love... Love... Love... Love is a wonderful feeling, If you have been Lucky to have been in Love once or if you are in Love now then you understand exactly what I mean when I say a wonderful...
21 Reactions
290 Replies
20K Views
Vijana apo mpate funzo maana mnapnda kuchovya lakini matokeo hamyataki mi naamini hakuna valuable assets kama watoto sasa mabinti sio vichaa hakwambie hii mimba ni yako hivihivi jiulize kawapita...
4 Reactions
46 Replies
4K Views
Wakuu, Pamoja na kwamba, kila siku natafuna papuchi hata walau bao moja tu(siku nikiwa na uchovu, lakini nimekua nikiwaza mapenzi muda mwingi kwa siku. Yaani kila saa nawaza na kutamani mapenzi...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
habari wadau.. kwa thread nazoziona humu kuhusu wanawake kuomba hela.. na wanawake kulalamika wanaume wabahili na wenye pesa wachache hawana nguvu za kiume za kutosha.. nashauri wafanya...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Sisi wanaume wenye Vitambi tupo hapa kuwaambia kuwa, sisi ni rijali kuliko ninyi vimbau mbau. Mwanamume mwenye kitambi unatembea na mtoto mrembo hadi ana ji feel prestige kuwa anatembea na mtu...
5 Reactions
54 Replies
7K Views
Salaaam Enzi hizoo,nipo kidato kinachofuata baada ya "njuka",nilikuwa nina videm viwili vitatu nasoma navyo kidato kimoja.Mzee baba ndo nilikuwa naponea kidizain + chaputa (oyeeeeee). Sasa siku...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa sasa kuna Habari zinatrend Za mmoja wa wabunge wanawake kuachana na mume wake (kutalikiwa) na sasa kulazimika kubadilisha majina yake kwani kama tujuavyo wengi wa wanawake wanapoolewa hupenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habary za muda huu waungwana. Hebu tuelekee moja kwa moja kwenye mada. MWAKA 2017 Mnamo mwaka 2017 kuna binti alitokea kunivutia saana , nikaona nimtongoze . Lakini alinikataa kwa HERUFI KUBWA...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye...
15 Reactions
44 Replies
37K Views
Mwanamke: Ana uwezo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha mafanikio. Lakini ana uwezo huo huo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha taabu na dhiki. Anaweza akawa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wasaalamu wakubwa na wadogo, Mimi sio mtu wa story sana hivyo moja kwa moja niende kwenye mada... Je ni wakati gani uliosahihi kwa kijana wa kiune kuvuta jiko ? Ningependa kujua kuhusu.. 1.umri...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
She died at the age of 104, and she spent 82 years in marriage, and she said this. "I know that young ladies will never agree with me, but whoever will implement this shall be the happiest of all...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
VIDEO: Mbunge Bonnah ‘Kaluwa’ akiri ndoa yake kuvunjika VIDEO: Mbunge Bonnah ‘Kaluwa’ akiri ndoa yake kuvunjika Mbunge wa Segerea (CCM) aeleza kilichotokea mpaka kumfanya kubadilisha majina...
4 Reactions
23 Replies
6K Views
Tuliowahi kufanya mapenzi bila kufika kileleni(kukojoa mkojo mtamu) tukutane hapa? Binafsi ilikuwa siku nina kesi polisi ya kukutwa na Dent alafu kuna demu flani hivi akawa anakazania nimpe...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Nilishaapa kutokuwa na mahusiano na single mother yeyote yule hapa duniani kwa sababu zifuatazo:- Kwanza huwa na- imagine kama kwa mabinti tu wa hapa mtaani washagegedwa mno lkn hawajazaa je huyu...
3 Reactions
103 Replies
6K Views
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.. Nilikutana na mdada mmoja fb ambae anakaa G/mboto wakati namtokea mwanzo alikua ananizungusha sasa nikaona nitakuja kumkosa kwa uzembe wangu usio na faida...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu hii ni miongoni mwa changamoto inayonikabili hapa nilipopanga. Ni hivi miongoni mwa wapangaji wenzangu yupo jamaa mmoja ana mke na mtoto mmoja lakin jamaa mara nyingi hayupo maana...
2 Reactions
45 Replies
6K Views
Kwa muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka? Yaani hana hata urafiki na majirani angalau...
6 Reactions
148 Replies
20K Views
Nimekua mwenye mahusiano na binti mmoja kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Yeye anadini tofauti na yangu. Suala hili la dini limekuwa changamoto kwa sababu yeye hataki kubadili dini kunifuata na mimi...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Hbr...cm yangu imeanguka haijapasuka kioo ila kinaonyesha mstari mistar midogo midogo pia kimefifia je niifanyaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom