Naomba ushauri ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 30, nimeoa na nimebatika kupata mtoto mmoja wa kike. Nimepanga nyumba mbezi beach yenye chumba na sebule. Sasa naishi na mtoto wa dada ya mke...
Mara kadhaa kupitia wasaa huu tumezungumza juu ya matumizi ya mtandao na athari zake, chanya na hasi. Leo tunakutanabaishia aina tano kuu za hatari anazoweza kukutana nazo mwanao awapo mitandaoni...
Kuwa muwajibikaji
ktk nyanja zote kuanzia huduma zote anazohitaji mwanamke.
Mlinzi
Ni lazima kila mwanaume kuhakikisha usalama wa mwanamke umpendae ktk nyanja mbalimbali mf:kumlinda na mgonjwa...
Kuna ishu imetokea hapa kwa jirani yangu. Yeye na mke wake wanaishi nchi mbalimbali mmoja yupo tanzania(mke)mwanaume yuko kenya. Mwanaume ni mtu mzima wa miaka 33 anaipenda na anaihudumia familia...
Wanaume tujihadhari sana na wanawake ambao tunataka kuzaa nao ama kujenga familia!
Maana ukipata mwanamke mpumbavu halafu mkaja mkagombana kwa namna moja ama nyingine na kutokea kuachana atachukua...
Love... Love... Love...
Love is a wonderful feeling, If you have been Lucky to have been in Love once or if you are in Love now then you understand exactly what I mean when I say a wonderful...
Vijana apo mpate funzo maana mnapnda kuchovya lakini matokeo hamyataki mi naamini hakuna valuable assets kama watoto sasa mabinti sio vichaa hakwambie hii mimba ni yako hivihivi jiulize kawapita...
Wakuu,
Pamoja na kwamba, kila siku natafuna papuchi hata walau bao moja tu(siku nikiwa na uchovu, lakini nimekua nikiwaza mapenzi muda mwingi kwa siku.
Yaani kila saa nawaza na kutamani mapenzi...
habari wadau..
kwa thread nazoziona humu kuhusu wanawake kuomba hela..
na wanawake kulalamika wanaume wabahili na wenye pesa wachache hawana nguvu za kiume za kutosha..
nashauri wafanya...
Sisi wanaume wenye Vitambi tupo hapa kuwaambia kuwa, sisi ni rijali kuliko ninyi vimbau mbau.
Mwanamume mwenye kitambi unatembea na mtoto mrembo hadi ana ji feel prestige kuwa anatembea na mtu...
Kwa sasa kuna Habari zinatrend Za mmoja wa wabunge wanawake kuachana na mume wake (kutalikiwa) na sasa kulazimika kubadilisha majina yake kwani kama tujuavyo wengi wa wanawake wanapoolewa hupenda...
Habary za muda huu waungwana.
Hebu tuelekee moja kwa moja kwenye mada.
MWAKA 2017
Mnamo mwaka 2017 kuna binti alitokea kunivutia saana , nikaona nimtongoze . Lakini alinikataa kwa HERUFI KUBWA...
1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye...
Mwanamke:
Ana uwezo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha mafanikio.
Lakini ana uwezo huo huo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha taabu na dhiki.
Anaweza akawa...
Wasaalamu wakubwa na wadogo,
Mimi sio mtu wa story sana hivyo moja kwa moja niende kwenye mada...
Je ni wakati gani uliosahihi kwa kijana wa kiune kuvuta jiko ?
Ningependa kujua kuhusu..
1.umri...
She died at the age of 104, and she spent 82 years in marriage, and she said this.
"I know that young ladies will never agree with me, but whoever will implement this shall be the happiest of all...
Tuliowahi kufanya mapenzi bila kufika kileleni(kukojoa mkojo mtamu) tukutane hapa?
Binafsi ilikuwa siku nina kesi polisi ya kukutwa na Dent alafu kuna demu flani hivi akawa anakazania nimpe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.