Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

Naomba ushauri ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 30, nimeoa na nimebatika kupata mtoto mmoja wa kike. Nimepanga nyumba mbezi beach yenye chumba na sebule. Sasa naishi na mtoto wa dada ya mke...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mara kadhaa kupitia wasaa huu tumezungumza juu ya matumizi ya mtandao na athari zake, chanya na hasi. Leo tunakutanabaishia aina tano kuu za hatari anazoweza kukutana nazo mwanao awapo mitandaoni...
21 Reactions
30 Replies
8K Views
Kuwa muwajibikaji ktk nyanja zote kuanzia huduma zote anazohitaji mwanamke. Mlinzi Ni lazima kila mwanaume kuhakikisha usalama wa mwanamke umpendae ktk nyanja mbalimbali mf:kumlinda na mgonjwa...
15 Reactions
121 Replies
14K Views
Kuna ishu imetokea hapa kwa jirani yangu. Yeye na mke wake wanaishi nchi mbalimbali mmoja yupo tanzania(mke)mwanaume yuko kenya. Mwanaume ni mtu mzima wa miaka 33 anaipenda na anaihudumia familia...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
.......nahisi Watakuwa watamu balaaaah. Wenye uzoefu Tafadhali na hivi Viumbe Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanaume tujihadhari sana na wanawake ambao tunataka kuzaa nao ama kujenga familia! Maana ukipata mwanamke mpumbavu halafu mkaja mkagombana kwa namna moja ama nyingine na kutokea kuachana atachukua...
13 Reactions
138 Replies
11K Views
Love... Love... Love... Love is a wonderful feeling, If you have been Lucky to have been in Love once or if you are in Love now then you understand exactly what I mean when I say a wonderful...
21 Reactions
290 Replies
20K Views
Vijana apo mpate funzo maana mnapnda kuchovya lakini matokeo hamyataki mi naamini hakuna valuable assets kama watoto sasa mabinti sio vichaa hakwambie hii mimba ni yako hivihivi jiulize kawapita...
4 Reactions
46 Replies
4K Views
Wakuu, Pamoja na kwamba, kila siku natafuna papuchi hata walau bao moja tu(siku nikiwa na uchovu, lakini nimekua nikiwaza mapenzi muda mwingi kwa siku. Yaani kila saa nawaza na kutamani mapenzi...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
habari wadau.. kwa thread nazoziona humu kuhusu wanawake kuomba hela.. na wanawake kulalamika wanaume wabahili na wenye pesa wachache hawana nguvu za kiume za kutosha.. nashauri wafanya...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Sisi wanaume wenye Vitambi tupo hapa kuwaambia kuwa, sisi ni rijali kuliko ninyi vimbau mbau. Mwanamume mwenye kitambi unatembea na mtoto mrembo hadi ana ji feel prestige kuwa anatembea na mtu...
5 Reactions
54 Replies
7K Views
Salaaam Enzi hizoo,nipo kidato kinachofuata baada ya "njuka",nilikuwa nina videm viwili vitatu nasoma navyo kidato kimoja.Mzee baba ndo nilikuwa naponea kidizain + chaputa (oyeeeeee). Sasa siku...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa sasa kuna Habari zinatrend Za mmoja wa wabunge wanawake kuachana na mume wake (kutalikiwa) na sasa kulazimika kubadilisha majina yake kwani kama tujuavyo wengi wa wanawake wanapoolewa hupenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habary za muda huu waungwana. Hebu tuelekee moja kwa moja kwenye mada. MWAKA 2017 Mnamo mwaka 2017 kuna binti alitokea kunivutia saana , nikaona nimtongoze . Lakini alinikataa kwa HERUFI KUBWA...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye...
15 Reactions
44 Replies
37K Views
Mwanamke: Ana uwezo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha mafanikio. Lakini ana uwezo huo huo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha taabu na dhiki. Anaweza akawa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wasaalamu wakubwa na wadogo, Mimi sio mtu wa story sana hivyo moja kwa moja niende kwenye mada... Je ni wakati gani uliosahihi kwa kijana wa kiune kuvuta jiko ? Ningependa kujua kuhusu.. 1.umri...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
She died at the age of 104, and she spent 82 years in marriage, and she said this. "I know that young ladies will never agree with me, but whoever will implement this shall be the happiest of all...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
VIDEO: Mbunge Bonnah ‘Kaluwa’ akiri ndoa yake kuvunjika VIDEO: Mbunge Bonnah ‘Kaluwa’ akiri ndoa yake kuvunjika Mbunge wa Segerea (CCM) aeleza kilichotokea mpaka kumfanya kubadilisha majina...
4 Reactions
23 Replies
6K Views
Tuliowahi kufanya mapenzi bila kufika kileleni(kukojoa mkojo mtamu) tukutane hapa? Binafsi ilikuwa siku nina kesi polisi ya kukutwa na Dent alafu kuna demu flani hivi akawa anakazania nimpe...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Back
Top Bottom