Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,424
- 10,588
Hey haya uyasomayo humu ni maoni ya watu tu.mwisho wa siku maamuzi ni yako.uoe ama usioe.uyaweze ama yakushinde
Ndoa ni yako maamuzi ni yako
Ndoa ni yako maamuzi ni yako
imagine alafu utataka mtoto, alafu huyo mtoto baba yake awe anamhudumia hukohuko mbalimbali huu ni ujinga ambao upo kichwani kwako, pia ni kumnyima mtoto haki yake ya kuwa karibu na wazazi wake