CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,788
Mwanamke:
Ana uwezo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha mafanikio.
Lakini ana uwezo huo huo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha taabu na dhiki.
Anaweza akawa hakupi hela, hajasoma, hana elimu, hana maarifa ya utafutaji lakini ana kitu kikubwa sana cha ziada ambacho ni kama manukato ya kuvutia mafanikio. Wanaume wote waliofanikiwa hili wanalijua.
Fanya hivi: Usimnunie, usimkasirishe, mdekeze, mpe kila kitu kilicho ndani ya uwezo wako, make her feel hii dunia anaibeba kiganjani mwake. Akikukosea, au akileta ujinga ama dharau mpe kelebu za kutosha, lkn mpe dunia yote (if you can understand)
Kamata hii siri: Mwanamke ni battle field ama battle ground kati ya Mungu na mungu (sio kila mwanamke)
Point: Fanya review ya mahusiano yako kila siku bila kuchoka. Namaanisha mwanamke yupi una mahusiano naye na vipi mnahusianaje. Ukichemka hapa, umeenda na maji rafiki.
Mwanamme:
Mwanamme mwenye uwezo aidha darasani, ama ana wadhifa ofisini ama ana pesa ana uwezo wa 100% kukufikisha kwenye kilele cha mafanikio yako, lakini hana uwezo wa 100% kukushusha chini.
Cha muhimu hapa uwe na akili tu jinsi ya kwenda naye. Wape ufalme na uwe na akili. Narudia tena wape ufalme na uwe na akili. Narudia tena wape ufalme na uwe na akili. Nasisitiza wape ufalme na uwe na akili. Umemaliza kazi. Utapanda hadi juu.
Ana uwezo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha mafanikio.
Lakini ana uwezo huo huo wa 100% kufanya maisha yako yafike kilele kikuu cha taabu na dhiki.
Anaweza akawa hakupi hela, hajasoma, hana elimu, hana maarifa ya utafutaji lakini ana kitu kikubwa sana cha ziada ambacho ni kama manukato ya kuvutia mafanikio. Wanaume wote waliofanikiwa hili wanalijua.
Fanya hivi: Usimnunie, usimkasirishe, mdekeze, mpe kila kitu kilicho ndani ya uwezo wako, make her feel hii dunia anaibeba kiganjani mwake. Akikukosea, au akileta ujinga ama dharau mpe kelebu za kutosha, lkn mpe dunia yote (if you can understand)
Kamata hii siri: Mwanamke ni battle field ama battle ground kati ya Mungu na mungu (sio kila mwanamke)
Point: Fanya review ya mahusiano yako kila siku bila kuchoka. Namaanisha mwanamke yupi una mahusiano naye na vipi mnahusianaje. Ukichemka hapa, umeenda na maji rafiki.
Mwanamme:
Mwanamme mwenye uwezo aidha darasani, ama ana wadhifa ofisini ama ana pesa ana uwezo wa 100% kukufikisha kwenye kilele cha mafanikio yako, lakini hana uwezo wa 100% kukushusha chini.
Cha muhimu hapa uwe na akili tu jinsi ya kwenda naye. Wape ufalme na uwe na akili. Narudia tena wape ufalme na uwe na akili. Narudia tena wape ufalme na uwe na akili. Nasisitiza wape ufalme na uwe na akili. Umemaliza kazi. Utapanda hadi juu.